lizzy na uporoto1

Hahahahahahha lol
dahhh nimependa rangi ya
kofia na sweta hata ukipigwa na radi hufi.. dahhhhh

Cheusi mpendwa nielekeze kwenye duka gani ntapata hizo kofia kuna mtu anaitwa NN huwa wa hasira mara nyingi hiyo rangi itampooza tu hahhahahah lol
 
Hahahahahahha lol
dahhh nimependa rangi ya
kofia na sweta hata ukipigwa na radi hufi.. dahhhhh

Cheusi mpendwa nielekeze kwenye duka gani ntapata hizo kofia kuna mtu anaitwa NN huwa wa hasira mara nyingi hiyo rangi itampooza tu hahhahahah lol

hizo kofia hazijanunuliwa,ni kazi ya mikono ya uporoto,hicho kijunju tu kwenye kofia ya lizzy kilimchukua uporoto wiki 3 kukifuma,sina uhakika nani kati yao alichagua hii rangi.
 
Hahahahahahha lol
dahhh nimependa rangi ya
kofia na sweta hata ukipigwa na radi hufi.. dahhhhh

Cheusi mpendwa nielekeze kwenye duka gani ntapata hizo kofia kuna mtu anaitwa NN huwa wa hasira mara nyingi hiyo rangi itampooza tu hahhahahah lol

Wewe AD wewe....nakukorogea dawa yako.
 
Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!

Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!

Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!

Hahahaaa Lizzy Madividii umepinda wewe lol.
 


The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post:

Asha D (Today), cheusimangala (Today)​


Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!

Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!

Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!
 
mim ndie nimetoka mbali na uporoto sema si unajua ukishazeeka hata anti aging zinadunda inabidi tu nikubali,
hata mim nammiss sana lizzy leo,kila nikimchungulia holaa
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
 
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.


In JF Signature speak louder than words....lol


CHEUSIMANGALA yesterday,today,tommorrow and ALWAYS.

 
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.

ktk watu ambao hawawezi kunikwaza wewe ni nambari one,
nayaamin maneno yako kuliko ninavyojiamin,,,,,,!
senkyu so much for those blue words.
i know u kan go east n then west but kwa cheusie u will always come back na hata ukiwa umefulia ntakupokea
 
Pole dear... nimefurahi kuniona kwako imefanya iwe nafuu... nini lakini???[/QUOTE]

tarehe ya leo inanikumbusha siku uporoto alivyonambia nikimuona yuko na lizzy nikijifanya simjui atanipa zawadi,,,,
 
Pole dear... nimefurahi kuniona kwako imefanya iwe nafuu... nini lakini???[/QUOTE]

tarehe ya leo inanikumbusha siku uporoto alivyonambia nikimuona yuko na lizzy nikijifanya simjui atanipa zawadi,,,,



hahahahah Umeona alivyo player.... pole mwaya ndo maana ulipokuta hio picha alikoficha ukairusha....lol.... alafu anjifanya siku ya zari hakuwepo!
 
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
⸮⸮⸮⸮⸮⸮.............???????
Mmmh mhhh mhhhh!
 
hahahahah Umeona alivyo player.... pole mwaya ndo maana ulipokuta hio picha alikoficha ukairusha....lol.... alafu anjifanya siku ya zari hakuwepo!

asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:
 
asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:


Cheusimangala don't worry maombi yamepokelewa sema tu leo Uporoto1 kaenda kwenye emergeny fulani huko.. kwa kutuliza moyo chukua hii special for Uporoto1 Signature...


CHEUSIMANGALA yesterday,today,tommorrow and ALWAYS.

 
Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!

Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!

Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!

Hahahaaa Lizzy Madividii umepinda wewe lol.

⸮⸮⸮⸮⸮⸮.............???????
Mmmh mhhh mhhhh!
Unaguna nini please refer to the above statement.
 
asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:
Nafahamu unampenda sasa bwana Yesu naheshimu uamuzi wako, lakini jaribu kunikumbuka na mimi ubavu wako kidogo sweety.
 
Cheusimangala don't worry maombi yamepokelewa sema tu leo Uporoto1 kaenda kwenye emergeny fulani huko.. kwa kutuliza moyo chukua hii special for Uporoto1 Signature...


CHEUSIMANGALA yesterday,today,tommorrow and ALWAYS.

usidanganyike na signaturi shosti yangu,nimekwambia nisaidie maombi,au kama hutak nambie mana martha mwaipaja aliimba kuwa wkt wa shida hata mashoga zako watajitenga nawe...lolmaombi bado yanahitajika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom