Hahahahahahha lol
dahhh nimependa rangi ya
kofia na sweta hata ukipigwa na radi hufi.. dahhhhh
Cheusi mpendwa nielekeze kwenye duka gani ntapata hizo kofia kuna mtu anaitwa NN huwa wa hasira mara nyingi hiyo rangi itampooza tu hahhahahah lol
Hahahahahahha lol
dahhh nimependa rangi ya
kofia na sweta hata ukipigwa na radi hufi.. dahhhhh
Cheusi mpendwa nielekeze kwenye duka gani ntapata hizo kofia kuna mtu anaitwa NN huwa wa hasira mara nyingi hiyo rangi itampooza tu hahhahahah lol
Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!
Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!
Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!
Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!
Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!
Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!
Halaf wamebadilishana mabegi, mjomba uporoto kala lady in pink na Lizzy kaondoka na boy is blue, heheeh hawa hata kifo hakiwatenganishi aisee.
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.mim ndie nimetoka mbali na uporoto sema si unajua ukishazeeka hata anti aging zinadunda inabidi tu nikubali,
hata mim nammiss sana lizzy leo,kila nikimchungulia holaa
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
In JF Signature speak louder than words....lol
CHEUSIMANGALA yesterday,today,tommorrow and ALWAYS.
leo nimeamka mnyonge kweli shosti wangu,nilivyokuona nikapata faraja kidogo
Pole dear... nimefurahi kuniona kwako imefanya iwe nafuu... nini lakini???[/QUOTE]
tarehe ya leo inanikumbusha siku uporoto alivyonambia nikimuona yuko na lizzy nikijifanya simjui atanipa zawadi,,,,
Pole dear... nimefurahi kuniona kwako imefanya iwe nafuu... nini lakini???[/QUOTE]
tarehe ya leo inanikumbusha siku uporoto alivyonambia nikimuona yuko na lizzy nikijifanya simjui atanipa zawadi,,,,
hahahahah Umeona alivyo player.... pole mwaya ndo maana ulipokuta hio picha alikoficha ukairusha....lol.... alafu anjifanya siku ya zari hakuwepo!
⸮⸮⸮⸮⸮⸮.............???????Jamani black beauty wangu samahani kama nimekukwaza sijaingia JF siku mbili ndio maana sijaiona hii,tuna utani na members wengi hapa na kweli sa zingine tuna 'flirt' kidogo lakini ujuwe Lizzy ni ndugu yako wa pale mlima mrefu na hana dhamira ya kupindua jahazi me love you always.:A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose:.
hahahahah Umeona alivyo player.... pole mwaya ndo maana ulipokuta hio picha alikoficha ukairusha....lol.... alafu anjifanya siku ya zari hakuwepo!
asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:
asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:
Aiseeeee!!
Kwanza asante CM kwakunikumbusha mbali mpenz...yani those are the days i will never regret!!Uporoto alikua ananiambia ana sh.20 yake na akipata change tu ananipa sh.10 ili na mimi nijinunulie maandazi wakati wa mapumziko.Alikua anaogopa kununua anigawie maana watu wageanza kutuimbia TUNAMEREMETA...WACHUMBA...BABA NA MAMA na mimi nlikua sipendi!!
Kesi baada ya kumbukumbu...Dearest,Partner Nyaniizzo na Kloro naona mmeenda weeee mpaka mkanikopesha kesi...sasa ngoja niwarudishie maana kila mtu macho juu wanasubiria tifu...yani mpaka mmemfanya CM ajute kupekua album ya Uporoto na kumkosesha usingizi my dear husband Sipi to the Yu!!
Picha tu inaonyesha we go way back...mvua ilinyesha alikua ananishikia jani la mgomba nisinyeshewe...nikipoteza penseli zangu ananipa zake...kabegi kangu alikua ananibebea maana kalikua kazito utadhani nasafiri kwahiyo NDIO NAMPENDA UPOROTO tangu enzi hizo navaa jeans ndani ya sketi ili nisichunguliwe na kioo na bonge ya ndula utadhani naenda mlimani!!!Baadae tukapotea na wote tukasonga na maisha...dearest akampenda CM na mimi Sipiyu...sijui CM alimfanya nini maskini mpaka akaamua kuachana nae.Nwy ananipenda na mimi nampenda sema naheshimu na kuipenda ndoa yangu!!
Me love you all...hata waliotamani mambo yavurugike!!Sorry to dissapoint you desh desh!!
Hahahaaa Lizzy Madividii umepinda wewe lol.
Unaguna nini please refer to the above statement.⸮⸮⸮⸮⸮⸮.............???????
Mmmh mhhh mhhhh!
Nafahamu unampenda sasa bwana Yesu naheshimu uamuzi wako, lakini jaribu kunikumbuka na mimi ubavu wako kidogo sweety.asante lkn nshazoea mwaya,mwanzon nlikua nalia hadi macho yanakua ka nimekula ndumu lkn sasa nafanya maomb il arudi kwangu jumla.nisaidien kusali jaman ndugu zangu kunyanganywa mume ni fedheha siwez eleza:biggrin1:
usidanganyike na signaturi shosti yangu,nimekwambia nisaidie maombi,au kama hutak nambie mana martha mwaipaja aliimba kuwa wkt wa shida hata mashoga zako watajitenga nawe...lolmaombi bado yanahitajikaCheusimangala don't worry maombi yamepokelewa sema tu leo Uporoto1 kaenda kwenye emergeny fulani huko.. kwa kutuliza moyo chukua hii special for Uporoto1 Signature...
CHEUSIMANGALA yesterday,today,tommorrow and ALWAYS.