Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,764
Je hukumu dhidi ya Liyumba leo inaweza kuwa ya pili baada ya kusota gerezani kwa muda mrefu tu kutokana na kunyimwa dhamana?Je kesi hii ina 'mengine binafsi' zaidi ya ubadhirifu wa fedha za umma?Je waendesha mashtaka wa serikali wataweza kuondoa hisia za baadhi ya wanajamii kuwa 'uchovu wao kitaaluma' umekuwa kikwazo kwa jamuhuri kushinda kesi nyingi za 'high profile'?Yote haya yanajadiliwa kwa mapana na marefu hapa Liyumba Kuachiwa Huru Leo? | KULIKONI UGHAIBUNI