mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Liyumba alikuwa Kondoo wa Sadaka. Si kwamba hakuwa na Mazambi lahasha! Bali waliomtoa chambo....Wahusika wakina Ballali waliyeyushwa ili kiini macho kitumike. Sasa Atolewe asitolewe yote sawa tu. Maana tumedanganywa vyakutosha! Mimi nasubiri October 2010
Bado utasikia kabla ya uchaguzi
1.Lyumba achiwa
2. Watuhumiwa wote wa EPA waachiwa baada ya kukosa ushahidi
SI TULIONA YA ZOMBE WAJAMENI?
Bado utasikia kabla ya uchaguzi
1.Lyumba achiwa
2. Watuhumiwa wote wa EPA waachiwa baada ya kukosa ushahidi
SI TULIONA YA ZOMBE WAJAMENI?