Hatimaye Liumba ameachiwa huru leo!
alifungwa kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi tu, la hasara ya majengo serikali ilishindwa, leo ni kwamba amemaliza kifungo chake, maana kusema yuko huru ni kama kumsafisha kwa mashataka yaliyompeleka gerezani
Liyumba is now back again. Wenye madem mjini kaeni chonjo.
update:
Kuna wengine wanadai sisi ni wanachadema. Hapana sisi ni watanzania. Waandaaji wakuu ni "u.v.c.c.m" na chadema hawana mkono wala hawajui kinachoendelea hapa. Kikwete asitafute mchawi kwenye kila kitu. Mchawi ni yeye mwenyewe na ufisadi wake
Mh, Kikwete atafute mchawi kwa kazi gani! Kitu ambacho hamuelewi huko mliko ni kwamba JK anaheshimika sana kimataifa - na Viongozi wa kimataifa wanao muheshimu JK walinafanya tathimini yao kwa kina hawakurupuka; na wenzetu hawa wakisha mtathimini mtu basi, usije ukajiidanganya au kujipa matumaini kwamba unawawezi kwenda behind his back na kuwambia Wamerikani kwamba JK hafahi na kumvunjia heshima JK kwa kumzulia mambo mengine ambayo hayana kichwa wala miguu, hakuna atakaye wachukulia seriously katika hilo.
Mimi ninacho washauri shirikiana na JK kuendeleza Tanzania, andamaneni na mabango ya kuomba misaada ya kisayansi na tekinolojia ambalo hilo JK ameliweza sana kwa kuwa na mazungumzo na wakina Bill Gates, IBM, HP, General Electric, Mahospitali bingwa wa magonjwa ya moyo na neva anataka wawe na branch zao nchini, Vyuo Vikuu Mahili vya Utafiti Merikani kaenda mpaka Silcon Valley - hiyo ndiyo hulka halisi ya Jakaya, anafanya kila awezalo kuendeleza nchi yetu - lakini kwa bahati mbaya hilo huwa alizungumzwi! Kazi yetu ni kumlahumu left,right and center, hivi kwa nini?
I am not saying Jakaya is some Angel Gabriel far from it, yeye ni binadamu kama wengine ana mapungufu yake, lakini looking back kwa mambo ambayo ameweza ku-achieve on behalf of our Nation this man deserves credit siyo lawama zisizo na msingi. Nawashukuruni kwa muda wenu, godbless URT.
kweli masaburi alikua sahihi, sio wabunge tu wanafikiria kwa kutumia nanii hata wengine humu jf.
....Naomba dili la kuiba serikalini jamani,maana mambo yako poa!! Unaiba and then unawekwa huru,hii nchi bana!!
Ilaaniwe CCM, viongozi wake na supporters wake wote
Atachukuwa nafasi uwenyekiti wa miss tzzombe alipewa kuwa msemaji wa chama, tunasubiri liyumba atapewa cheo gani!