Liyumba afungwa miaka 2 jela

This is the JOke J .e .k.e.i unatutania hapa kuna mkono wako watanzania huwatendei haki
hapa unaruhusu watu washike sheria mkononi
Deus (Jasusi Mafia) out
Zombe out
Next Mramba no case yona no case
EPA case zinafutwa
Hili ni chenga la macho TANZANIA TANZANIA NCHI YANGU
 

Yeah akifanya hivyo wkt huo anakuwa tayari yupo nje na mahakama ya rufaa inamsafisha kuwa alionewa na uchaguzi mkuu wa 2015 atachukua formu kwa kupitia CCM kugombea ubunge au urais ataingia bungeni ulaji unaendelea kama kawaida.
 
Hahahahahahah jamani ubadhilifu wa Ma bilioni ya pesa unafungwa 2yrs, ngoja na mie nikaibeeeeeeeeeeee

Angalia mkuu usije ukawa chakula ya wababe wa jela na ukaozea huko huko.
 
Kisheria ni tayari ameshatumikia miaka miwili mpaka sasa...hivyo si ajabu akatoka....akina dada mpoooo???
 

...utawaweza wadanganyika?
Weshasahau na tena wanasubiria kuwapigia kura 'Mapapa na Manyangumi' wanaotuhumiwaiwa kwa maskendeli ya mikataba feki ya madini, kesi ya Radar, wizi wa EPA na Richmond....wanamshikia bango 'kidagaa!'
 
Hivi kweli watu mlitegemea hukumu tofauti na hii...au hamkufuatilia kesi nzima.
Ni lini mtashtuka na kuuvua Udanganyika!.
 

Lakini hapa hakimu katoa adhabu kubwa What is Tshs. 5,000,000 kwa Liyumba?. Hii sheria itakuwa haitendi haki pale Liyumba au wale mapapa wa ufisadi watakapopewa adhabu sawa na aliyekamatwa na rushwa ya shs. 10,000 tena hawa hupewa both na maelezo "Liwe fundisho kwa wengine".
 
Ndo maana yake, lakini atatoka na msamaha wa rais kabla ya mwisho wa mwaka huu
..Huyo xmas atakuwa uraiani kama kawaida maana kwenye ile sikukuu ya kusheherekea miaka 49 ya uhuru lazima JK ampe msamaha tu...Ndio njii yetu ya wadanganyika!
 

Chukua tano!

After all hajasababisha hasara kwa mujibu wa Mahakama hiyo hiyo ofisi kaitumiaje vibaya kama hamkuona hasara aliyosababisha. Tukienda serikalini hukumu kama hizi haziachi mtu. Ila kwa kuwa katolewa kafara kujiandaa na uchaguzi mkuu issue hata akikata rufaa haaishi hadi uchaguzi uishe
 
Mi naona ameonewa kwa sababu, ushahidi wa Daudi Balali haukutolewa. sasa anafungwa kwa lipi? Namshauri Liyumba akubali kifungo hicho ili awahi kutoka na asiwe na hofu kwani Mh JK alishakataa kura za wafanyakazi, ya kwake tutaihifadhi
 
Yaani Bongo kwa unafiki unawerza kukuta wiki ijayo UVCCM wanaandamana kupongeza juhudi za JK kupambana na rushwa. Mfano ukiwa ni huu!
 
mbona mnachanganya mambo?!!
kosa alofungiiwa ni kutumia madaraka vibaya na sio ubadhirifu wa pesa hili lilisha futwa zamani na mahakama.

kwa hiyo hukumu hiyo ni sahihi kabisa..
 
Liyumba hatapata msamaha wa JK. Kuna kisasi hapo. Lakini atatoka jela 23.9.2011. Atakuwa ameshatumikia kifungo chake, pamoja na kuwa
na tabia nzuri na uongozi jela.
 

I concur with you, the fact ya kesi zote nchi kama wote wana pesa(mshitaki na mshitakiwa) hakuna hukumu ya halali ni upendeleo kutokana na nguvu ya pesa na tacks za wanasheria, au kama mmoja anapesa(mshitaki aua mshitakiwa) hakuna fair game pia, lakini kama wote hawana pesa( mshitaki na mshitakiwa) hapo ndiyo kuna hukumu fair kwa wote na hao wizi wa kuku ndiyo wanafall kwenye hili group
 
...utawaweza wadanganyika?
Weshasahau na tena wanasubiria kuwapigia kura 'Mapapa na Manyangumi' wanaotuhumiwaiwa kwa maskendeli ya mikataba feki ya madini, kesi ya Radar, wizi wa EPA na Richmond....wanamshikia bango 'kidagaa!'


Laws: We know what they are, and what they are worth! They are spider webs for the rich and mighty, steel chains for the poor and weak, fishing nets in the hands of the government. ~Pierre Joseph Proudhon, quoted in The Match!
 
Liyumba hatapata msamaha wa JK. Kuna kisasi hapo. Lakini atatoka jela 23.9.2011. Atakuwa ameshatumikia kifungo chake, pamoja na kuwa
na tabia nzuri na uongozi jela.
Hilo la kisasi cha JK nalo linazungumzwa sana mitaani, kwani kuna nini hapa....mdau unaweza kurudi na kutupa ufafanuzi juu ya hayo, ama ni yale yale ya kusikia kama ambavyo nami nasikiaga pale kijiweni kwangu SUWATA,
 
Hilo la kisasi cha JK nalo linazungumzwa sana mitaani, kwani kuna nini hapa....mdau unaweza kurudi na kutupa ufafanuzi juu ya hayo, ama ni yale yale ya kusikia kama ambavyo nami nasikiaga pale kijiweni kwangu SUWATA,
Ni yale yale uliyoyasikia kijiweni kwako. Yanahusu yule kisura wa gauni jekundu.
 
Lakini sidhani kama Liyumba alishtakiwa kwa sheria hii ya kupambana na rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…