IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,176
- 3,833
Liverpool alifungwa 0-1italyLiverpool alifungwa na Napoli Italia 2 - 1, lakini Liverpool kashinda England 1 - 0, ina maana head to head ni 2 - 2, ila Liver amepata goli la ugenini kule Italy na napoli hawakupata goli England, ndio maana liver kapita na kumuachia manyoya napoli, Hali wamefanana kila kitu.