Liverpool vs Napoli

Liverpool alifungwa na Napoli Italia 2 - 1, lakini Liverpool kashinda England 1 - 0, ina maana head to head ni 2 - 2, ila Liver amepata goli la ugenini kule Italy na napoli hawakupata goli England, ndio maana liver kapita na kumuachia manyoya napoli, Hali wamefanana kila kitu.
Liverpool alifungwa 0-1italy
 
Magoli ya kufunga TE="msondomba, post: 29578139, member: 309540"]kwa iyo kavuka kwa sheria ya herufi au L inatangulia alaf inafuata N ? sijaelewa maana goal difference wako sawa[/QUOTE]
agoli
 
Magoli ya kufunga TE="msondomba, post: 29578139, member: 309540"]kwa iyo kavuka kwa sheria ya herufi au L inatangulia alaf inafuata N ? sijaelewa maana goal difference wako sawa

Sheria iliyotumika kwa Napol ndio hiyo hiyo iliyotumika kwa Tottenhan na Intermilan. Sidhani kama ni sheria ya Herufi kwasababu Tottenham kashinda goli 1-0 Uingereza dhidi ya Intermilan. Na Intermilan naye alishinda mechi ya awali goli 1-0 akiwa Italy dhidi ya hao hao Tottenham kwahiyo kwenye Head 2 Head wanalingana, point wanalingana, na goal difference pia wanalingana lakini intermilan wameshindwa kufuzu hatua 16 bora. Ingelikuwa imetumika sheria ya Herufi basi ingefuzu Intermilan badala ya Tottenham.
 
Back
Top Bottom