Game itakuwa nzuri mno ila kinachoweza amua hii game ni mbinu na uzoefu wa makocha katika hatua kama hii... Mimi naona wanaenda sare ya 2 - 2 na kama liver akishinda basi haizidi goli 2 - 1
Billy Shankly anaenda kufufuka Leo.This is Liverpool.Miujiza ya Liverpool itafanya kazi
Anaweza pata matokeo bora lkn asifuzu vile vile
Liverpool ndio timu yangu lkn mmmh, presha inapanda presha inashuka
Naomba ukiwa unatizama game uwe na panadol pembeni mkuu lkn nina imani na falsafa za klopp kama shaqiri ataanzia bench then aje amalize second half Liverpool watafanikiwa sana, mo salah ni mzuri akiwa anatokea kulia hapa kati asimame bobby firmino kule kushoto asimame Money