Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,644
- 79,055
Hiii machine nyingineLiverpool itawachukua miaka tele kuwa na kiumbe chenye roho ngumu kama hiki :'Kaka wa timu View attachment 964680
Hiii machine nyingineLiverpool itawachukua miaka tele kuwa na kiumbe chenye roho ngumu kama hiki :'Kaka wa timu View attachment 964680
Sijui kama Liverpool wanatoka kwenye game hii ya Leo vipi kuhusu maoni yako juu ya mechi kali na ya kukata na shoka
Karibu mwana jf:-View attachment 964635
Game inachezwa SAA ngap! 4 au 5Sijui kama Liverpool wanatoka kwenye game hii ya Leo vipi kuhusu maoni yako juu ya mechi kali na ya kukata na shoka
Karibu mwana jf:-View attachment 964635
Daah usiku sana!!!Game zote ni saa 5
Huyu jamaa aisee basi tu aliumia sana kustaafu bila ya kombe la epl
Miujiza ya Liverpool au?
Haswaa mkuu...ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindanoView attachment 964814
Kwani nn
Nakumbuka ilikuwa moja kati ya mistake kubwa sna za stiv alizowahi fanya stiv ila ndo hvo tena
Ile mechi dah iliniuma Sana. Draw au ushindi tunachukua ndoo ,na ktk makosa huwa alikua akifanya sana akicheza kiungo wa chini kupasia adui
Hatari sana wapenzi wa Liverpool tuliteseka sana nafsi zetu nilipenda sana stiv awe amestaafu soka kwa heshima ya kubeba ndoo lkn bahati haikuwa yetu