balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,474
- 12,607
Ulikuwa unaotaeuropa league liverpool inawahusu !!
Ulikuwa unaotaeuropa league liverpool inawahusu !!
Hizo sheria zako mwenyeweMe naona bora liver asikomalie hii match ili asifuzu mtoano nguvu akawekeze ligi kuu. Anaweza chukua.
Nadhani napoli ana point 9 goal d +3
Yeye point 6 goal d -1
So lazima ashinde kwa tofauti ya goal 3 na kuendelea.
Nb: psg ni ngumu kumshusha lazima atashinda.
Kumbeee bana kavuka aiseeeHizo sheria zako mwenyewe
I told you my friend,, now you can see what happenedLet's wait & see
Hizo sheria zako mwenyewe
kwa iyo kavuka kwa sheria ya herufi au L inatangulia alaf inafuata N ? sijaelewa maana goal difference wako sawa
Liverpool kapita kwakuwa alifunga magoli mengi kuliko Napoli. Kwakuwa sheria ya Head to head inafanana pia goal difference.kwa iyo kavuka kwa sheria ya herufi au L inatangulia alaf inafuata N ? sijaelewa maana goal difference wako sawa
Napoli hajamfunga PSG, Liverpool kafunga timu zote kwenye kundi
Liver bado Ngoma ya kitoto sana Ulayasio sbb mbona liver kafungwa game zote za ugenn na Napoli katoka draw na psg home n away na draw away na red star
Kwaiyo Liverpool hajafuzusio sbb mbona liver kafungwa game zote za ugenn na Napoli katoka draw na psg home n away na draw away na red star
sio sbb mbona liver kafungwa game zote za ugenn na Napoli katoka draw na psg home n away na draw away na red star
naona goal difference wako sawa mawiliNapoli hajamfunga PSG, Liverpool kafunga timu zote kwenye kundi
naona goal difference wako sawa mawiliView attachment 965620
Huna point wewe hapaLiver bado Ngoma ya kitoto sana Ulaya
Ajipange kwanza EPL achukuwe ndoo japo Mara 2
Ndio atakuwa amekomaa UEFA
NI MAONI YANGU NA NILIPENDA SANA ASHINDE HATA NNE