Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

That is wonderful, I had to rethink and see if there is anyone who deserves it more than our skipper, I couldn't see one.

This explains why Three Lions is a bust.
For what he has won in 2019 he honestly deserves the award and am happy for him,

its our year for this boys to win this personal honours means their efforts are seen and appreciated,

✔VVD won best player in Europe,
✔Mane best player in Africa
✔Allison 1st player in the world to win 3 golden gloves in one single season..
✔Allison South America Ballon d'or winner
✔Klopp 2019 best Fifa coach of the year...
✔Salah & Mane joint top 2019 EPL Scorers

Nk

YNWA
 
Kuna watu watakuwa wamenuna sana taarifa hizi nzuri sana za kunenepesha mifupa, Yani kuna watu katika dunia hii wao wamezoea shida shida tu, vitu vizuri kwao hawataki kabisa kuviona vinatendeka katika maisha yao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely, it is good for the team's records /achievements and motivation.
Pia TAA yumo kwenye Guinness World records with his outstanding assist record, he achieved the record of most English Premier League assists by a defender in a single season 2018/19.. nadhani mwaka huu anaweza vunja na kuweka mpya..mechi bado.
#YNWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is surely a liverpool season..
 
wapi King Ngwaba ?
njoo huku kuna watu wanakuvuta sharubu zako huku.... hahaha!!

View attachment 1323513

Mwanzo nilishituka nilidhani Mchezaji bora wa EPL [emoji23][emoji23]

Lakini kumbe ni Mchezaji bora kwa Wachezaji wa Kiengereza tu! Haina shida as long as washindani wake ni Lingard, Chilwell, Rashford, Madison, Mount, Lallana and c.o. [emoji23] [emoji23]

But namuonea huruma Ndugu yangu Scouser TAA ambaye yupo kwenye kikosi cha Dunia na Ulaya lakini kwenye kijitunzo cha Brexit kaonekana hastahili.

Ni bora asingekuwa Mweusi bali angelizaliwa Mzungu.

Enewey ni Mchezaji wa BT SPORT
 

Haya ni maneno ya Konyagi waziwazi [emoji23] [emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…