Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

bila shaka rekodi yangu OT miaka ya hivi karibuni si poa kivile, hata hivyo ni uhakika kabisa kupata ushindi hapo Theatre of Nightmare ...

Pambana na PSG leo na Jtatu mpige Chelsi aafu ndio unawaze mie...

Kwa umuhimu wa pointi 3 sitegemei matokea zaidi ya kuodoka na ushindi..

All the best kwa PSG.
 
Hahahaha jifiche tu kwenye takwimu enzi za wakina Karius. Sahivi tunawatandika nyie kipigo heavy, it's serious hakuna mtu atakayekubal kupoteza ubingwa hapo OT.
Tangu mmasai OLE akabidhiwe sime pale OT sio sehemu salama hata kidogo,kimsingi pale ndipo utakapo walk alone while Martial is running.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya pweza! But mark your words! Ila ukifungwa usijipige ban Bali nikumbushe na u-confess mbele ya umma wa jamiiforum kuwa umekubali kufungwa na ilikuwa wrong hicho ndicho nitakachohitaji kutoka kwako mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha jifiche tu kwenye takwimu enzi za wakina Karius. Sahivi tunawatandika nyie kipigo heavy, it's serious hakuna mtu atakayekubal kupoteza ubingwa hapo OT.
Mkuu kwani mwaka huu hamjafungwa! Akiyanani kweli wabongo ni wagumu wa kuelewa .nimekuletea mpaka takwimu bado hataki nahisi hata darasani ulikuwa mzito sana haya ni mashaka yangu.maana nakula points nyingine wewe badala ya kujibu point kwa fact unaniletea taarabu na kahamisha hoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya pweza! But mark your words! Ila ukifungwa usijipige ban Bali nikumbushe na u-confess mbele ya umma wa jamiiforum kuwa umekubali kufungwa na ilikuwa wrong hicho ndicho nitakachohitaji kutoka kwako mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm ninachojua ,liver ana umuhimu mkubwa wa hiyo mech ,hivo hata sare huwez kupata ,zaid utachezea kipigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha jifiche tu kwenye takwimu enzi za wakina Karius. Sahivi tunawatandika nyie kipigo heavy, it's serious hakuna mtu atakayekubal kupoteza ubingwa hapo OT.
Maana hata kwenye form bado Liverpool kwa kipindi cha miaka hiyo alikuwa akimaliza juu ya man utd katika EPL .lakini bado kashida mechi moja katka hizo nilizoweka .nakukumbusha kuwa mm siyo mtabiri wq matukio ya mbeleni maana sina kipawa hicho.nataka facts ya matukio yaliyo tokea tayari! Ndio maana hata kwenye betting watu wanaliwa kwakuwa ni wqbahatishaji siyo manabii.ila kama wewe nqbii basi it's OK!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu mmasai OLE akabidhiwe sime pale OT sio sehemu salama hata kidogo,kimsingi pale ndipo utakapo walk alone while Martial is running.

Sent using Jamii Forums mobile app
Theatre of Nightmare is back with a bang....

here come the show stopper, hivi ni Kimbembe au Kimpembe...

mpaka Feb inaisha tutaelewana tu.
 
Utd played against a good team and got turned like peak Huddersfield..

And we were out here worrying about them man

Its a Wrap at OT..



Easy 3 points and we move
wouldnt expect anything less than cool 3 points...

Citi wil also visit thea t better we take our 3 points wt this game in hand n plan for March while still ahead wt 3points gap...
 
Theatre of Nightmare is back with a bang....

here come the show stopper, hivi ni Kimbembe au Kimpembe...

mpaka Feb inaisha tutaelewana tu.
Manyumbu ule ulikuwa upepo tu, tulisema wanajipandia tu mbele, na ndicho kilichotokea leo,

Sasa wakikutana na pep ,chache sana 4,

Now kelele zimepungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somebody better tell Pogba that, having a masterclass against PSG at home, isn’t for everybody

View attachment 1021013
Poor boy as he thot referee ws Ole i mean u cant be yellow carded n b that reckless...

That same old Progba we know cant handle pressure..

want to be pampered all th tym...

thier chance to progress seems like a pipe dream..
 
Manyumbu ule ulikuwa upepo tu, tulisema wanajipandia tu mbele, na ndicho kilichotokea leo,

Sasa wakikutana na pep ,chache sana 4,

Now kelele zimepungua

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaa kelele hakuna hapo umesema kweli..

wametolewa upepo wakati mwafaka..
Chelsi akiwashindwa Jtatu FA basi tena nae ameishiwa maana mimi siwaachi hivi hivi bila kipigo.
 
Mm kitambo nilishawaona , mtawafumua, hawana bek halafu wanapanda tu,

Leo angekuwepo neymar wangepata kadi timu nzima

Sent using Jamii Forums mobile app

yaani ndio najiuliza walidhani Ole ndio refa maana sio kwa mpira ule...

hii inaitwa "REALITY CHECK" ...walidhani baada ya kushinda tangu aje Ole basi hawafungiki tena bila kujua walikua hawajakutana na visiki...

sasa leo ndio wameanza siku si nyingi na huyu Ole watamkataa vile vile...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…