Kwenye mechi hii Henderson na Carroll wamekuwa mzigo, sijui kama KD atakuwa na guts za kuwatoa mwanzo wa kipindi cha pili au ataendeleza imani zake kwa wachezaji wachovu!
Kwenye mechi hii Henderson na Carroll wamekuwa mzigo kwa timu, sijui kama KD atakuwa na guts za kuwatoa kipindi cha pili au ataendeleza imani zake kwa wachezaji wachovu!
Mkuu utanisamehe! Nilipokuwa najiandaa kukujibu Kuyt akapiga bao ikabidi nirukeruke kwanza! Vijamaa vinajua kubana... Lkn ndo hivo 1-2 kwa Liverpool
bado dkk chache.