Naona majanga ya jana bado yanakuandama.Mkuu sina cha kuthibitisha hapo maana siwahi ona mtoto akipopoa maembe kwa kurusha jiwe kwa mikono miwili labda aniwekee picha nione.
Sina wasiwasi kabisa najua zote hizo zinarudi kipindi cha pili
Sina wasiwasi kabisa najua zote hizo zinarudi kipindi cha pili
Sina wasiwasi kabisa najua zote hizo zinarudi kipindi cha pili
Dk 40
Yanga 2 - 0 Ruvu
Yanga wanapata kona...wanaanza kona fupi...inapigwa krosi kipa wa Ruvu anadaka
Sina wasiwasi kabisa najua zote hizo zinarudi kipindi cha pili
Inawezekana TBC1 hawaoneshi mpira kwa sababu ya Bunge?
Yanga wanafanya sub Twite kaumia,anatoka anaingia Ibrahim Job..
Mpira ni Half Time
Mpwa mwone Aisha hapo