Mkuu nakukubali lete vitu kama jana,,,,,,,,,,,,najiona kama nipo uwanjani vile.
Mling'oa viti vya nini?
Watu weweeee kuwa shabiki wa yanga raha sanaaaa
Kujifariji kudhani gogo likikaa muda mrefu kwenye maji litageuka mamba. utasubiri saana...
Ruvu mbona mmezubaa , kipindi cha pili tunataka mcheze mpira
Hivi Tbccm hawaoneshi hii mechi ama!?
Kujifariji kudhani gogo likikaa muda mrefu kwenye maji litageuka mamba. utasubiri saana...
Huyu Job simwamini
eti kwasababu walitoka droo
Dakika ya 35
JKt 0-2 Yanga
Channel TEN nayo ni majanga, afadhali ya TBC1, broadcast yao ni hafifu na ina mnato sana.
Mkuu sijawahi kushabikia Yanga hata mara moja toka nizaliwe lakini ukweli hauna ushabiki, JKT Ruvu haiwezi kurudisha hayo magoli labda wapate wachezaji wawili pale mbele wa uwezo wa Kipre Tchetche na Amis Tambwe ndo wataweza kurudisha lakini zaidi ya hapo watapata labda la kufutia machozi.
Timu ipi ni mwenyeji mkuu?
eti kwasababu walitoka droo
Mkuu jana refa kaniudhi na mashabiki wa Simba wajinga wajinga wameniudhi sana, Kibadeni naye ameniudhi kwa tabia yake ya kupeleka wachezaji kikosi cha pili, mwaka jana pia tulianza kuharibu baada ya Nyoso kupelekwa kikosi cha pili na timu kuanza kuvurugwa mara beki akae Kapombe na Keita au Keita na Owino au Kapombe na Owino yaani vurugu mechi wakati combination ya Maftah, Chollo, Kapombe na Nyoso ilikuwa inafanya vizuri sana, matatizo ya mwaka jana yanaanza kujirudia mwaka huu, Chanongo ana kasi na ndiye amekuwa akiwalisha Tambwe na Mwombeki lakini kuharibu mechi moja tu dogo anatupwa hawa makocha sometimes wanajichongea wenyewe, dawa yao ni kutoenda uwanjani tu mpaka watakapokosa posho.Naona majanga ya jana bado yanakuandama.
wanaweza kutuacha mdomo wazi kwa kubadilika....