LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

Wapenzi wa Yanga bado endeleeni kubana makalio, maana hata matokeo yakiwa 3-0 bado yanaweza kurejeshwa. Kwani Simba waweze wana nini hadi Ruvu washindwe wana nini?
 
Jkt ni chekesheni kama walivyo ni chekesha Jana wakata miwa.
 
Msuva anafanyiwa faulo...anatolewa kutibiwa
 
Huyu Twite anarusha mpira kama mtoto anayepopoa maembe na kota
 
Jkt ni chekesheni kama walivyo ni chekesha Jana wakata miwa.

KITOABU KITOABU KITOABU! Wazaramo wana msemo usemao 'kutenda kosa si kosa,kosa kurudia kosa',Lile kosa la 3-3 halijirudii mkuu labda upande wa pili kwa wazee wa droo na viti sio jangwani.
 
mkuu Balatanda je waweza tupia list ya vijana humu jamvini? maana wakuu wengine tupo mbali sana ya tv. Halafu hii timu yangu ya wananchi (Yanga) kiwango chake cha leo kikoje?

[h=5]1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Mbuyu Twite - 6
3.Oscar Joshua - 4
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' - 23
5.Kelvin Yondani 'Cotton' - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Saimon Msuva - 27
8.Frank Domayo 'Chumvi' - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Mrisho Ngassa - 17
11.Hamis Kiiza - 20

Subs:
1.Ally Mustapha 'Barthez' - 1
2.Ibrahim Job - 25
3.Rajab Zahir - 14
4.Said Bahanuzi - 11
5.Reliants Lusajo - 9
6.Hussein Javu - 21
7.Jerson Tegete - 10[/h]
 
Back
Top Bottom