LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

Hongereni sana Simba Kwa kulibakisha Kombe Tanzania bara,kweli nyie Wekundu wa Msimbazi.
 
Timu ya Halamshauri ya Jiji la Kampala imetwaa kombe, huenda na Timu ya Halmashauri ya Jiji la Mbeya nayo ikajitutumua, Halmshauri nyingine ziamke sasa, kadhalika unaweza kuona Watoza Ushuru wa Uganda wako sawa sana (URA) wa kwetu huku wanaishia TRA Family Day,

Hongereni Mabingwa KCC, poleni Simba, mmepigana hadi dk ya mwisho lakn lazima apatikane mshindi
 
:target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target:
Hongereni sana Simba Kwa kulibakisha Kombe Tanzania bara,kweli nyie Wekundu wa Msimbazi.
 
tehtehteh..... Jf haaishiwi vituko, kuna kila aina ya watu lol! You made my night
Naipenda TANGANYIKA ina kila
aina ya vituko, wengine wanaamka wengine wanalala, Huu kama siyo MNAZI
basi ni KIBUKU, ULANZI, BANGI ya chooni au GONGO.
 
Mkuu unachekesha kweli... kombe ulilikimbia lakini kwenye fyeefyeefyeee umo aisee, kweli wacha debe tupu liendelee kutika

Yanga haikukimbia kombe bali haikushiriki. Unapopewa mualiko kuna two options kukubali au kukataa. Timu ya wananchi ina ratiba nyingi na zote endelevu, hatuwezi kuharibu mipango ya Timu kisa tukaipe promo Azam TV. Tunajitambua nyie sijui mnasubiri nini?
 
Yanga haikukimbia kombe bali haikushiriki. Unapopewa mualiko kuna two options kukubali au kukataa. Timu ya wananchi ina ratiba nyingi na zote endelevu, hatuwezi kuharibu mipango ya Timu kisa tukaipe promo Azam TV. Tunajitambua nyie sijui mnasubiri nini?

timu ya wananchi halafu mnatoa priority kwa uturuki wakati mlezi wenu ni mke wa muasisi wa mapinduzi zanzibar

what a silly excuse... you dont even know historia ya Tanzania kwa excuse uliyotoa, unaangalia AzamTV instead of history ya kombe la mapinduzi!!!

unawaza jirani atapata nini, badala ya kufikia wewe utapata nini, a very dumb excuse kuangalia azamTV wanapata nini, hoja ya kichawichawi

hongera kwa kujitambua, wanasema -------- akijitambua upumbavu wake, basi yuko mbioni kuuacha
 
timu ya wananchi halafu mnatoa priority kwa uturuki wakati mlezi wenu ni mke wa muasisi wa mapinduzi zanzibar

what a silly excuse... you dont even know historia ya Tanzania kwa excuse uliyotoa, unaangalia AzamTV instead of history ya kombe la mapinduzi!!!

unawaza jirani atapata nini, badala ya kufikia wewe utapata nini, a very dumb excuse kuangalia azamTV wanapata nini, hoja ya kichawichawi

hongera kwa kujitambua, wanasema -------- akijitambua upumbavu wake, basi yuko mbioni kuuacha

Unaonesha ni jinsi gani usivyo mstaarab na uvumilivu ktk masuala ambayo yanahitaji kufikiri zaidi ya kuropoka. Maneno niliyotumia ni misemo tuu ya kimichezo hasa unapozungumzia simba na yanga na inahitaji akili ya ziada kutambua hilo. Azam tv imewekwa kama kionjo tuu, wenye akili wameelewa. Kuhusu historia jiulize vizuri hilo kombe la mapinduzi limeanza mwaka gani. Yanga kwa njia moja ama nyingine tumeshiriki kombe la mapinduzi kama walivyo watanzania wengine. Tumetoa mchango wetu kufanikisha mashindano hayo. Hata zawadi walizopewa watani wetu tumechangia tukiwa kama Timu ya wananchi wa Tanzania. So next tym jaribu ku reply kwa kutumia akili zaidi kuliko jazba na kejeli ulizonazo.

NOTE: Nahisi utakuwa tayari ushautambua upumbavu wako na uko mbioni kuuacha. 😎😎😎
 
Maskini Loga atamaliza 2014 bila taji lolote kwn mpk hili la mbuzi limekosekana
 
Back
Top Bottom