LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

Mkuu unachekesha kweli... kombe ulilikimbia lakini kwenye fyeefyeefyeee umo aisee, kweli wacha debe tupu liendelee kutika
Mkuu ukweli ni kwamba Simba alipakatwa jana.......

Na waandaaji wa Kombe la Mapinduzi wameshatuelewa ndio maana hata pesa za Ubingwa Tshs. milioni 16 kati ya hizo Milioni 10 zimetolewa na Yanga
 
Yaani huu uzi umepoa sana. Hivi wale watukanaji kama akina Ngarna wako wapi? Wastaarabu kama akina Crashwise wako wapi na wengineo kama akina Jabulani wako wapi jamani. Heko KCC kwa kutuliza hali ya hewa. Yule Logaloga hana lolote kafungwa na kocha Mganda mzalendo wakati alipomfunga Brandits alidai kuwa hakuna kocha wa kumfunga akiwa na Simba aliyodai 'inatisha'.
 
Last edited by a moderator:
Zilipelekwa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti Clement Sanga na kukabidhiwa kwa Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Idd..
Kabla ya mashindano kuanza, iliwekwa wazi kuwa Yanga watachangia 10M au waliipeleka wenyewe bila kuombwa?
 
Wana michezo wenzangu hasa kwa wale tunayoipenda Simba,
Naomba kwa ambao wako Zanzibar watupe live updates hapa...

Hili ni ombi maalumu kwani sijaona uzi wowote juu ya hii mechi.

Mji umepoa, kimya! Asante sana KCC
 
Unaonesha ni jinsi gani usivyo mstaarab na uvumilivu ktk masuala ambayo yanahitaji kufikiri zaidi ya kuropoka. Maneno niliyotumia ni misemo tuu ya kimichezo hasa unapozungumzia simba na yanga na inahitaji akili ya ziada kutambua hilo. Azam tv imewekwa kama kionjo tuu, wenye akili wameelewa. Kuhusu historia jiulize vizuri hilo kombe la mapinduzi limeanza mwaka gani. Yanga kwa njia moja ama nyingine tumeshiriki kombe la mapinduzi kama walivyo watanzania wengine. Tumetoa mchango wetu kufanikisha mashindano hayo. Hata zawadi walizopewa watani wetu tumechangia tukiwa kama Timu ya wananchi wa Tanzania. So next tym jaribu ku reply kwa kutumia akili zaidi kuliko jazba na kejeli ulizonazo.

NOTE: Nahisi utakuwa tayari ushautambua upumbavu wako na uko mbioni kuuacha. 

crraaappp.....
 
He will be sacked before end of this year as there is no title he together with his team can register in 2014...labda waje washiriki mashindano ya Mtemi Isike huku Tbr
 
He will be sacked before end of this year as there is no title he together with his team can register in 2014...labda waje washiriki mashindano ya Mtemi Isike huku Tbr

Wataanzisha mashindano mapya yatakayoitwa Rage Cup ili kuzima kelele za wale wasiomtaka Rage. Niliwaambia 'wanaenda Zanzibar kwa kicheko, watarudi wakilia'. Hayo ndiyo yametokea!
 
Yaani huu uzi umepoa sana. Hivi wale watukanaji kama akina Ngarna wako wapi? Wastaarabu kama akina Crashwise wako wapi na wengineo kama akina Jabulani wako wapi jamani. Heko KCC kwa kutuliza hali ya hewa. Yule Logaloga hana lolote kafungwa na kocha Mganda mzalendo wakati alipomfunga Brandits alidai kuwa hakuna kocha wa kumfunga akiwa na Simba aliyodai 'inatisha'.

Vp Bonanza linaendaje huko uturuki?
 
Last edited by a moderator:
Vp Bonanza linaendaje huko uturuki?

Timu iko Uturuki kwa ajili ya mafunzo, siyo bonanza. Hivi Malkia wa Nyoka haja-revenge kwa kuwapeleka Oman kama ka mwaka kale, au kaishiwa? Rage mwenye 'gundu' aliyesababisha Simba ifungwe kwa kuingia uwanjani, hajambo?
 
Timu iko Uturuki kwa ajili ya mafunzo, siyo bonanza. Hivi Malkia wa Nyoka haja-revenge kwa kuwapeleka Oman kama ka mwaka kale, au kaishiwa? Rage mwenye 'gundu' aliyesababisha Simba ifungwe kwa kuingia uwanjani, hajambo?

Umeonaehhhhhhhhh Malkia wa nyoka lol!
 
Back
Top Bottom