Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Naona watani wote wamepotea Jukwaani...
Maneno mingiii...Utafikiri mdomo ndo unacheza mpira...
Loga Loga....
Maneno mingiii...Utafikiri mdomo ndo unacheza mpira...
Loga Loga....
Mechi,Nini mmepoteza?
Na huu nao unauita ni utetezi?...Hata barcelona, real, au vigogo wowote hufungwa kwa hiyo hakuna cha kusikitisha. Tena kwa timu zetu za kibongo labda hii itasaidia maana wachezaji wetu si ajabu wangerudi Dar na kulewa masifa then kubweteka..
Halafu wakirudi goli 3 kama kawaidaVijana saa hizi wanapiga tizi kwenye upepo mwanana wa Antalya,Turkey. Mikia oyee!
Walau KCC wametupunguzia aibu ya mjini ile ya 3-1
. 3-1Hivi ni ngapi hadi sasa kati ya simba na kcc
Halafu wakirudi goli 3 kama kawaida
Na huu nao unauita ni utetezi?...
Laiti maneno yangekuwa ndio ushindi....
Walau KCC wametupunguzia aibu ya mjini ile ya 3-1
. 3-1
Hana lolote muongo tu huyo, anaona haibuMchezaji mmoja wa Simba amezimia, haijafahamika kama ni presha au la.
Ahsanteni baba Mchungaji, ubarikiwe kwa dua lenye maziwa kifuani.Ee Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, nilikuomba dua KCC wapate goli moja nao umewapa kama mtumishi wako Makoye Matale niivyoomba. Asante sana kwa kujibu dua yangu. Heshima na utukufu ni vyako milele na milele, amina.