LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

Naona watani wote wamepotea Jukwaani...

Maneno mingiii...Utafikiri mdomo ndo unacheza mpira...

Loga Loga....
 
Hata barcelona, real, au vigogo wowote hufungwa kwa hiyo hakuna cha kusikitisha. Tena kwa timu zetu za kibongo labda hii itasaidia maana wachezaji wetu si ajabu wangerudi Dar na kulewa masifa then kubweteka..
 
Hata barcelona, real, au vigogo wowote hufungwa kwa hiyo hakuna cha kusikitisha. Tena kwa timu zetu za kibongo labda hii itasaidia maana wachezaji wetu si ajabu wangerudi Dar na kulewa masifa then kubweteka..
Na huu nao unauita ni utetezi?...

Laiti maneno yangekuwa ndio ushindi....
 
Walau KCC wametupunguzia aibu ya mjini ile ya 3-1
 
Vijana saa hizi wanapiga tizi kwenye upepo mwanana wa Antalya,Turkey. Mikia oyee!
 
Hongera Simba kwa kuwa wawakilishi wetu wa kombe la Mapinduzi
 
Ee Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, nilikuomba dua KCC wapate goli moja nao umewapa kama mtumishi wako Makoye Matale niivyoomba. Asante sana kwa kujibu dua yangu. Heshima na utukufu ni vyako milele na milele, amina.
Ahsanteni baba Mchungaji, ubarikiwe kwa dua lenye maziwa kifuani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom