LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

LIVE Updates ya Simba na KCC Leo Tar 13/01/2014

Hivi kocha wa simba mwenye kiherehere yupo? Ngoja aanze kuonja joto ya jiwe
 
Messi na Kiemba hawana madhara leo? na huyo TAMBWE magoli yake anafunga kwa YANGA na ligi kuu tu? au amekwenda kushangaa karafuu na BAHARI? refa tusaidie penati.
 
Bado dk zipo,,Kombe lazima libaki kwa wana msimbazi...
 
Daaa mechi imemalizika Simba 2 Vs KCC 1

Naipenda TANGANYIKA ina kila aina ya vituko, wengine wanaamka wengine wanalala, Huu kama siyo MNAZI basi ni KIBUKU, ULANZI, BANGI ya chooni au GONGO.
 
Tumeshindwa kuwaonga wapinzani wetu ili tuendelee kuwapa raha wapenzi wetu
 
Naipenda TANGANYIKA ina kila aina ya vituko, wengine wanaamka wengine wanalala, Huu kama siyo MNAZI basi ni KIBUKU, ULANZI, BANGI ya chooni au GONGO.

Ata kutongozana na kutangaza hakuna haja ya kufanya kazi na maisha yanasonga
 
KCC Wamekuja kumuwakilisha Vizuri Baba wa Taifa la Zanzibar FM John Okelo.
 
KCC (Kampala City Council) ni kama MCC (Mbeya City Council), hakuna cha kuongwa!
 
Ee Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, nilikuomba dua KCC wapate goli moja nao umewapa kama mtumishi wako Makoye Matale niivyoomba. Asante sana kwa kujibu dua yangu. Heshima na utukufu ni vyako milele na milele, amina.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom