Nenda kwenye game ya Yanga kule, huku utaloa muda si mrefu Mkuuu.Hii mizee hata kugeuka shida
Nilitegemea utakuwa unaifuatilia mechi ya timu yako ili uone kama kuna 'muunganiko' 😁😁😁Hii mizee hata kugeuka shida
Bila bila dk ya 41 kotematokeo yapoje hadi sasa?
Mbona hajasema hawa wazee ni wachezaji wa Simba, unajishtukia nini?Nenda kwenye game ya Yanga kule, huku utaloa muda si mrefu Mkuuu.
Huo ndio ushahidi wa unyani wako, uneducated person na mbwa wa kubwekabwekaHii mizee hata kugeuka shida
Any body aje na analysis ya game to HT and how he sees next 45 minutes?Huo ndio ushahidi wa unyani wako, uneducated person na mbwa wa kubwekabweka
Sawa Amber RutHuo ndio ushahidi wa unyani wako, uneducated person na mbwa wa kubwekabweka
Karibuni tufuatilie mechi hizi pamoja
Tushuhudie vigogo hawa watakavyofanya hii Leo
Utaburi wangu
Prison 0- 3 Simba
Yanga 1- 3 Tanpolis
OKW BOBAN SUNZU GENTAMYCINE @Forteleza na wengine toka vyurani
Updates
Kikosi cha simba
Manula
Kapombe
Tshabalala
Nyoni
Onyango
Mkude
Mzamiru
Bwalya
Dilunga
Kondeboy
Ilanfya
Morrison
Yanga
Mnata
Kibwana
Mstaafa
Mwamnyeto
Lamine
Mkono
Feisal
Nionzima
Yocuba
Tk
Farid
Polisi Tz
Huo utabiriki wako usipotimia,sijui utawaambia Nini Wana jf.Karibuni tufuatilie mechi hizi pamoja
Tushuhudie vigogo hawa watakavyofanya hii Leo
Utaburi wangu
Prison 0- 3 Simba
Yanga 1- 3 Tanpolis
OKW BOBAN SUNZU GENTAMYCINE @Forteleza na wengine toka vyurani
Updates
Kikosi cha simba
Manula
Kapombe
Tshabalala
Nyoni
Onyango
Mkude
Mzamiru
Bwalya
Dilunga
Kondeboy
Ilanfya
Morrison
Yanga
Mnata
Kibwana
Mstaafa
Mwamnyeto
Lamine
Mkono
Feisal
Nionzima
Yocuba
Tk
Farid
Polisi Tz
Kadi haiwezi toka kwa wachezaji wanaojiangusha angusha,wamelegea kama mrendaHuyu Shomary Lawi mchezo ushamshinda huu, anataka Prison watoe mtu jino ndio atoe kadi, mpira umegeuka mieleka. Haivutii kabisa uchezeshaji hii
Kosa la red card kabisa hiloHuyu Shomary Lawi mchezo ushamshinda huu, anataka Prison watoe mtu jino ndio atoe kadi, mpira umegeuka mieleka. Haivutii kabisa uchezeshaji hii
Huyu ndiye aliwabeba yanga dhidi ya kagera kwenye FA. Aondelewe kwenye orodha ya waamuzi ligi kuu.Huyu Shomary Lawi mchezo ushamshinda huu, anataka Prison watoe mtu jino ndio atoe kadi, mpira umegeuka mieleka. Haivutii kabisa uchezeshaji hii