Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,413
- 1,534
wakuu naomba mnieleweshe...mikanda saivi ipo mikononi mwa polis? je baada ya vijana kuporwa mikanda na polis chadema watakuwa na mikanda tena?
Wale wana copy tu,watu wengi walirecord,Mkanda mkuu anao Mbowe!