hizo tuzo na matamasha kama fiesta ndo vimemtoa domo na wasanii wengi sasa we cjui unaongea kiushabiki tu au mahaba niuwee
wasanii wananyonywa sana kupitia show hizo au umejitoa ufahamu.
hizo tuzo na matamasha kama fiesta ndo vimemtoa domo na wasanii wengi sasa we cjui unaongea kiushabiki tu au mahaba niuwee
So jamaa siku hizi kawa game?Kwani kiba alikuwa anashirikii?
Tunalinda tembo tuliaaa hahahaaaaa
Hiyo video mbona ya muda mrefu sana yule nae ana habari za kike kama sio za kitandale tandale mtu mwenye akili za kimataifa kama inavyosemekana hawezi kupost utumbo kama ule
Kwahiyo wamebaki kma wajane sasa nguvu zao c wangefanyia maendeleo kuliko kupoteza mda kuzuia rizki y mtu.....jana lazma walipata mshtuko wakaingia period wote
wizkid na tuzo wapi na wapi hata kura haombi bwana yule anapiga kazi kazi ndo itajieleza sio kila cku click bio to vote click bio to watch video sifaaaa anatakaa
Acha chuki, hadi wa kwenu anafanya vizuri bado unachukia?? Kazi tunayo!!
Ebu pozea na hii kwanza, sie tuko busy kwenye maandalizi ya kumpokea icon wetu
Mkuu ushapaniki hahahaja
Kwani chibu kasema ya jan??
Na baaado *****, mtanyooka tu..
HIKI KIDOLE KIWAENDEE WOTE TEAM CHOKO, TEAM MAJUNGU, TEAM WAUA VIPAJI, TEAM MSIOKUWA NA UZALENDO NA NCHI YENU
![]()
Hahaaa hiyo imeshawazoea haimalizi kichefuchefu kuna hii mpya vinegar plus mabungo....yani inatibu mazima mana wengi wana minyoo sugu ndio mana wana kichefuchefu watumia huo mchanganyiko watapona milele
Hivi yule ataetembeza mpododo wake nje, atapita njia gan na muda gani maana niko hapa BIBI TITI RD namsubili na ka tube kangu ka KY JELLY
jokate insta huko amepewa bonge la bango na chibuu
Laiti kama mimi ningekua team pinzani nisingeonekana kabisa celeb.
Zile post zao vote davido sjui zimefutika!!
Watanyooooka tu na bado, basi utasikia watu wanasema dai kapata tuzo kaanza shombo zake
kumbe watu kama Jokate wanadeserve hizo shombo
nimependa hilo shushu la diamond
Nimeona shosti nimechekajeeee