Safi dogo kaza team kiba vp?
Kwani kiba alikuwa anashirikii?
Tunalinda tembo tuliaaa hahahaaaaa
Safi dogo kaza team kiba vp?
ahahahahahaaaa iko juu kamanda wanguuuuuuu
Kwani kiba alikuwa anashirikii?
Tunalinda tembo tuliaaa hahahaaaaa
Hahahaaaaaaa kama vile naona unavyo umiaa hahahaaaa umeishiwa umeanza personal attack hahahaaaaa mada apa ni davido ni best male.
Kuhusu mimi kujua au kutokujua haikuhusu kwani nakutumaga unisomeee?
Kumbe nakuumizagaa eeee?
Pole sana mimi ndo cute b bhanaa much know a.k.a google.
Ndio najua kwani wew hujui kuwa davido ndo mwanamuziki bora Africa hahahaaa lala ukiwa umesimama
Safi dogo kaza team kiba vp?
Yaaaan kila threed inayo husu tuzo za mtv wewe ni haters mkubwa wa mondi cjui unatumia akili za mda gan kufikiri,ila wanasemaga ukiona mtu anapinga kile kinacho mzunguka na kukubar kilicho mbaaaali hata kukishika hawez ujue ana dead mind pole dada yangu naona hii tuzo ya mond imekukuta katikati ya siku zako 3 pole sana endeleeni kulinda haki za wanyama
Alivyo na nyota ya tembo aliowaombea wote wamekosa daah itakuwa gundu kama sio ndele haiwezekani kila aliomuombea amekosa
Kwani kiba alikuwa anashirikii?
Tunalinda tembo tuliaaa hahahaaaaa
Hahahaaaaaaa pumbaaaaaaaaazzzzzzz....
Best male ni Davido
Ohahaha Linda
Maana hakuna namna nyingine tenaaaaa.. Chibu anajuwa kuwapanikisha watu, hakika tokea mwaka uanze sijapata kufurahi hivii..
Pata kidogo u calm dauni
Wakuu Vanessa mdee kaniharbia siku, yani analia kisa kukosa tuzo? Mbona Mondy 2010 alipokosa tuzo mtv hakulia. Hii ni aibu sana sasa alitaka ashindane na Yemi Alade kweli
Mkuu ili ufanikiwe unahitaji marafiki...lakini ili ufanikiwe zaidi unahitaji maadui
Akikwambia mida anayopita niambie nikamshuhudie