Wakuu tiliopo dar kuna shortage kidogo hapa tunaukosefu wa pikipiki tatu kwaajili ya nduguzetu kutoka team kiba ambao wameona ni busara kujumuika na sisi kwenda kumpokea airport abou sydou nitampa yangu bado pwilo na Shardcole
cute b mbishi eti na yeye anayaka yake anaweza kuendesha hahhaha huyu nitakuwanae mimi front line
piga keleleeeeeeeeee
Hail to the king of Afro pop
Mkuu mimi nataka honda au baja au boxer.
Alafu mimi na wew na el nino tutashikana mikono kama ishara ya upendo.
One love mkuu
Last edited by a moderator: