Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Hilo onesho la kutembea uchi ni saa ngapi? Nisijekupitwa bureeeeeHahahaaaa unataka ukaone govindraaa linavyocheza bum bum....kwi kwiiiii....
Hilo onesho la kutembea uchi ni saa ngapi? Nisijekupitwa bureeeeeHahahaaaa unataka ukaone govindraaa linavyocheza bum bum....kwi kwiiiii....
Hahahaaaaaaa pumbaaaaaaaaazzzzzzz....
Best male ni Davido
: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro
Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent
Naona naulizwa swali la kujitoa ufahamu kama we unadhan kukata mauono ndo best live basi wakongo wakina Fally ipupa wasingekuwa kuwa na mpinzani kwenye hii category.
Hujui kuimba live basi kaa pemben, hapa leo ndio mtapata somo kwann mtumbuizaji bora alipewa Kiba mpiga live show na sio chibu anayehemea kwenye maiki kama mwana riadha.
Usiku kucha hujalala cute b.... Umepanic na huamini kama diamond kashinda Mtv...
Karibu supu upunguze stress za kulinda tembo
Hahahaaaa unataka ukaone govindraaa linavyocheza bum bum....kwi kwiiiii....
: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro
Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent
Wakuu Vanessa mdee kaniharbia siku, yani analia kisa kukosa tuzo? Mbona Mondy 2010 alipokosa tuzo mtv hakulia. Hii ni aibu sana sasa alitaka ashindane na Yemi Alade kweli
Shardcole ishu itakua sa ngapi jombaaa tunangojaHaaaaaaaaa nikazione sijui anaanza saa ngapi. Nitakutupiemo ka picha ka govindraaaa
Shardcole ishu itakua sa ngapi jombaaa tunangoja
perfomance ya neyo tamu sna aisee mkubwa mkubwa tu.
Jamaa akipata tuzo hata 1 mi naenda posta nikiwa utupu.
Hilo onesho la kutembea uchi ni saa ngapi? Nisijekupitwa bureeeee
+kuna watu waliapa Mondi akichukua watakuny* wapi Sijui mpaka wapiwapi haya kesho mchana kweupeee fanyeni yenu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
+Halafu mjipige maselfie mtuletee hapa tuone