Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro

Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent
 
: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro

Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent

Hahahah kijeshijeshi tunasemaga" wazi afandeeeeeee!!!!!"
 
Naona naulizwa swali la kujitoa ufahamu kama we unadhan kukata mauono ndo best live basi wakongo wakina Fally ipupa wasingekuwa kuwa na mpinzani kwenye hii category.

Hujui kuimba live basi kaa pemben, hapa leo ndio mtapata somo kwann mtumbuizaji bora alipewa Kiba mpiga live show na sio chibu anayehemea kwenye maiki kama mwana riadha.

Na kweli tumejua mkuu!!!!!!!
 
: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro

Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent

yes mkuuuu....
 
Wakuu Vanessa mdee kaniharbia siku, yani analia kisa kukosa tuzo? Mbona Mondy 2010 alipokosa tuzo mtv hakulia. Hii ni aibu sana sasa alitaka ashindane na Yemi Alade kweli

Wanafik hamkumpigia kura au?? Nyie si mlisema mnampigia kura davido na vanesa mdee??
 
Mkuu ulivosema diamond kaibuka kidedea nikadhani amechukua tuzo kama NNE hivii
 
Wakuu tiliopo dar kuna shortage kidogo hapa tunaukosefu wa pikipiki tatu kwaajili ya nduguzetu kutoka team kiba ambao wameona ni busara kujumuika na sisi kwenda kumpokea airport abou sydou nitampa yangu bado pwilo na Shardcole
cute b mbishi eti na yeye anayaka yake anaweza kuendesha hahhaha huyu nitakuwanae mimi front line

piga keleleeeeeeeeee
Hail to the king of Afro pop
 
Last edited by a moderator:
+kuna watu waliapa Mondi akichukua watakuny* wapi Sijui mpaka wapiwapi haya kesho mchana kweupeee fanyeni yenu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
+Halafu mjipige maselfie mtuletee hapa tuone

Kwani wale wanyaji wako wapi? ??????😂😂😂😂
Nimetoka church nataka kuona mafii ya watu wazima. Na yule wakutembeza kitako posta yuko wapiiiiii?
 
Back
Top Bottom