Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
sauti on stage.
Daaaa Yemi alade amenenepa mpaka stage inamshinda
sauti on stage.
Yupo toi anaharrrrrrryule kinyeo aliekua anapayuka kua platnumz haezi chukua best live act aje arudie maneno yake
hata kama diamond kachukua ila wabongo kwa Figisu tu nimewakubali...yaani wakaunda hadi account insta kushawishi Daimond asipigiwe kura...kama Diamond ameweza kuruka kihunzi cha figisu za wabongo hadi kutoboa basi he is unbreakable
If God says Yes..hata kama diamond kachukua ila wabongo kwa Figisu tu nimewakubali...yaani wakaunda hadi account insta kushawishi Daimond asipigiwe kura...kama Diamond ameweza kuruka kihunzi cha figisu za wabongo hadi kutoboa basi he is unbreakable
kipengele chake bado hakijafikaaaaaaaa
V money bado....natamani ashinde kwa kweli
kwani davido alikuwepo kwenye hiyo category
Ha ha ha utaelewa tuuuuukwani davido alikuwepo kwenye hiyo category