Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
taulo la nini uwanjan,kila mtu akiingia na taulo uwanja utageuka laundry
hahahaah,,,,,,ni balaa
taulo la nini uwanjan,kila mtu akiingia na taulo uwanja utageuka laundry
Dk. 20 kipindi cha pili.Dakika ya ngapi mliopo uwanjani
Dakika ya ngapi mliopo uwanjani
Yaani bado watu wana upenzi wa Yanga na Simba kwa karne hii?
Ivo kaumia
more updates wakuu
tupo hapa utazipata....more updates wakuu
acha akili za kitoto joe hart casilas na magolikipa kibao wanaweka taulo kwenye nyavu umeambiwa taulo zinazuia kufungwa?Kwani huyo Ivo si kuna mechi alikatazwa kwenda na hilo litaulo lake golini?
Anajifanya yeye ndio anatoka jasho jingi kuliko magolikipa wengine ama?
lazma simba tuwalambe