Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,688
Kila la kheri YANGA naitakia ushindi but siendi uwanjani leo, nina machungu yangu ya kukosa kikombe. Naipenda kwa moyo wangu wote Yanga.
Yanga 3 - simba 1
Yanga 3 - simba 1
yanga hoyeeeeee
Yaani bado watu wana upenzi wa Yanga na Simba kwa karne hii?
Sizitaki mbichi hizi. Ulifuata nini kwenye huu uzi?!?
kwani Simba na Yanga wanagombea nini? Yanga akishinda wanapata nini?
kwani Simba na Yanga wanagombea nini? Yanga akishinda wanapata nini?
Hizi ndoto wallah...Yanga 8 simba 0
Nilikurupuka baada ya kusoma mpira mkubwa kudhania ni mpira ulioenda shule yaani ligi za majuu kumbe ni ligi hii uchwara inayotawaliwa na uchawi na wachezaji wasio na vipaji, na ndiyo maana nikashangaa kuona bado kuna watu wanashabikia huu mpira/ligi.
kwani Simba na Yanga wanagombea nini? Yanga akishinda wanapata nini?
Duh anawaogopa wanachama au
Mkuu unajifunza usela?
Tupeni updates