Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Kila la kheri YANGA naitakia ushindi but siendi uwanjani leo, nina machungu yangu ya kukosa kikombe. Naipenda kwa moyo wangu wote Yanga.

Yanga 3 - simba 1
 
Kweli hizi timu mvuto wake unatoweka taratibu.....Hii thread ndio iliyonigutua leo kuna Big match....enzi hizo vurugu zingeanza mwezi mmoja kabla.....

Kule kwenye uzi wa Jamal Malinzi nataka nimuandikie ushauri mdogo jinsi ya walau kuziwezesha hizi club zetu ziweze kujimudu ili tupate akina Azam FC na Mbeya City za kutosha kama enzi za Pamba FC,Ushirika , Sigara, Reli,Bandari n.k( angalia majina ya hizo timu ujue nafasi ya mashirika makubwa kukuza soka letu).

Siasa za Simba na Yanga zifike mwisho ili mpira uchezwe bila influence za kijinga.......BTW,Simba piga hao ndala wa twiga street...then yule mshamba wa Tabora atuachie timu kabla hajarudi Tabora kwa treni iliyomleta town.....:loco:
 
Sizitaki mbichi hizi. Ulifuata nini kwenye huu uzi?!?


Nilikurupuka baada ya kusoma mpira mkubwa kudhania ni mpira ulioenda shule yaani ligi za majuu kumbe ni ligi hii uchwara inayotawaliwa na uchawi na wachezaji wasio na vipaji, na ndiyo maana nikashangaa kuona bado kuna watu wanashabikia huu mpira/ligi.
 
simba wana roho ngumu kweli,mnaibeza yanga kua mshindi wa pili,mnasahau nyie hata hamjui ligi ikiisha saa kumi na mbili mtakua wa ngap! Duh?
 
Ntuzu hapa upo upande gani, jangwani au msimbazi...
 
Last edited by a moderator:
Nilikurupuka baada ya kusoma mpira mkubwa kudhania ni mpira ulioenda shule yaani ligi za majuu kumbe ni ligi hii uchwara inayotawaliwa na uchawi na wachezaji wasio na vipaji, na ndiyo maana nikashangaa kuona bado kuna watu wanashabikia huu mpira/ligi.

Mkuu unajifunza usela?
 
Duh anawaogopa wanachama au
 

Attachments

  • 1397913039143.jpg
    1397913039143.jpg
    70.3 KB · Views: 202
Mkude anafanyiwa madhambi hapa yuko chini kwa sasa
 
Back
Top Bottom