Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

washabiki wanarusha chupa, na kuna mtu kaonwa na anakamatwa na ffu, ni jamaa bonge hivi anaonekana kubishana na ffu lakini wanamfuata hukohuko jukwaani ili kumtia mbaroni
 
Dak 45 za kwanza timu zote zimecheza mpira unaofanana japo Simba wamejaribu kuonyesha uhai kiasi.

Ila yanga inabidi wajipange katikati maana pameonekana kupwaya kiasi hivyo kutegemea mpira mirefu ambayo mwisho wake haina madhara.
 
Dak 45 za kwanza timu zote zimecheza mpira unaofanana japo Simba wamejaribu kuonyesha uhai kiasi.

Ila yanga inabidi wajipange katikati maana pameonekana kupwaya kiasi hivyo kutegemea mpira mirefu ambayo mwisho wake haina madhara.
hiyo ndo SIMBA bwana.
 
Kwani huyo Ivo si kuna mechi alikatazwa kwenda na hilo litaulo lake golini?
Anajifanya yeye ndio anatoka jasho jingi kuliko magolikipa wengine ama?
 
Kipindi cha pili na hassan dillunga anapewa kadi ya njano........vipi matokeo kule chamanzi.
 
Back
Top Bottom