Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

msuva anakenda kupiga kona, anapiga paleeee mapunda anadaka
 
gooooooooooooo laaa hapana, anakosa bao hapa saimon msuva. didie kavumbagu amechukua taulo la mapunda na kulitupa kwa mashabiki wa yanga, kelele zinatokea hapa, idi pazi anampelekea taulo lingine mapunda.
 
Taulo limetupwa la Ivo,,,,,,,taulo linazua balaa sasa.
 
kuna mchezaji tena wa yanga kalito tena lile taulo lliloletwa na idi pazi, ankwenda pale refa kusuluhisha. Idi pazi anaambiwa kuondoka pale, taulo limerudishwa tena pale.... aaaa soka la bongo bwana haya mimi natoa updates tu, didie anakula kadi ya njano.
 
Mpira umesimama kwa muda na Kavumbagu anapewa kadi ya njano.....
 
uhuru selemani anakwenda, singanooooooooooo ..... anadaka kipa wa yanga hapa
 
taulo la nini uwanjan,kila mtu akiingia na taulo uwanja utageuka laundry
 
Back
Top Bottom