The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Wewe achana namimi kwataarifa yako tu, sina ushemeji nawewe. Na tuheshimiane wewe na huyo mwenzako ndio malimbukeni sukuma reli hamuoni inaleta tatizo? kuna sehemu nimeandika linafanya goli lisiingie? Furahi sasa huyo mmoja ni golikipa wa Man City na mwingine Real Madrid. Na tumerudisha pambafu
sisi wanamichezo huwa hatutumii jazba dada yangu,hii sio mipasho ni kufahamishana tu..! Duh...kaaaaz welikweli...mbona mimi mwenyewe sio shabiki wa soka la bongo kihiiiiivyo....anyway,yaishe bibie...nikiendelea kubishana na mwanamke nitakuwa nawadhalilisha wanaume wenzangu dunia nzima....!
Karibu!!