Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Live Updates:Mpira Mkubwa,Simba vs Yanga

Bora ligi imeisha maana mwaka huu toka uanze hakuna raga.
 
Aloo kweli simba magagula, goli limerudi baada ya taulo ya ivoo kutolewa golini!
 
Hongereni SSc., tuko juu zaidi ya k2 kwa msimu huu. Simba 7 Yanga 5. (3-3);(3-1);(1-1)
 
Hongereni SSc., tuko juu zaidi ya k2 kwa msimu huu. Simba 7 Yanga 5. (3-3);(3-1);(1-1)
Kaka kama.yanga hawajaweza tufunga mwaka huu ambao tulikuwa kigodoro watatufunga mwaka gan,magzt yao.wanasema yanga imetimia wameweza toka sare lin watatimia watufunge dah yanga wajipange upya na mwakan tupo kivingine sijui itakuwaje
 
Yanga bhana wameshindwa kabisa kuwafunga yanga.....!
 
!
!
kibongobongo timu yoyote inayoshine ila isiwe Yanga....kimbelembele kule kwa MiUNGU yoyote anayofundisha jose mourinho...........
 
Mkuu umewaita 'simaba' kwa sababu wameshindwa kufurukuta mbele ya Yanga au?
mkuu umewaita "yaga" kwa sababu wameshindwa kufurukuta mbele ya simaba au?
 
!
!
kibongobongo timu yoyote inayoshine ila isiwe Yanga....kimbelembele kule kwa MiUNGU yoyote anayofundisha jose mourinho...........
 
Taulo ya Ivo ni noma!Mpaka iondolewe ndio goli liingie?!Sijui kwa nini hasitusaidie timu ya taifa ikipige Brazil
 
thumb.php

FULL TIME:

Yanga 1-1 Simba

============
MPIRA UMEKWISHA

wanga{wachawi) watupu wamekutana! tehe tehe tehe!
 
Back
Top Bottom