Afadhari ninywe na Bia sasa
Shabiki mmoja wa simba ni kama amekufa.
Matokeo tafadhari
Matokeo tafadhari
Pamoja nanyi nilikua nae Katavi, OKW BOBAN SUNZU, na wengineo, mimi ni Skype nakuaga moja kw moja kutoka hapa uwanja wa taifa, tukutane tena kwenye majukwaa mengine humu jf, kwa herini kwa sasa.
Manyoya walitaka kutuaribia siku.
Harakati za TEAM UKAWA zinaendelea
mkuu umewaita "yaga" kwa sababu wameshindwa kufurukuta mbele ya simaba au?
Yanga wamechomoa
Mpira umekishwaaa.asante Kamanda Skype kwa updates makini
TFF msimu ujao msipange simba na Yanga mechi ya mwisho,misimu miwili mmefanya hivyo .Mnapunguza msisimko wa mechi kubwa zaidi East Africa.
tupeni matokeo
Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,Updates FT, SIMBA 1:YANGA 1