Carseloi
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 315
- 102
Thanks kwa utabiri
Yanga 8 simba 0
Yanga 8 simba 0
achana nae shemeji yetu huyo,hao makipa wote ulomtajia hamfahamu hata mmoja wapo! Kwake yeye kipa ni kaseja na ivo mapunda tu
Mpaka sasa ni dakika ya 36 kwenda ya 37, bao ni simba 1 ila yanga hawajapata kitu, tunaendelea....
Thanx kaka.
Ujasikia bado!!una semaje!