Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
.....
Asanteni sana Makamanda!!!
...dadadek CHADEMA ni zaidi ya nyuki...
CC biologist ....ecologist.....The big show ...Kusini hub....
mingoi + chilisos = chris lukos
View attachment 102681Kwa wale wasioamini hadi picha
Wewe umesoma mpaka darasa la ngapi? Maana hoja zako zimekaa ki-PIMBI PIMBI tu!
Hapo utakuta hata hao mabodygurd ni wachaga hichi chama balaa
Asante Mohamedi Mtoi.Tuna imani kubwa na Freeman Mbowe.
Hakuna hata gazeti moja lililoripoti habari ya Chadema Songea
wewe dada ungekuwa mchawi tungekoma
Wananchi wakinyoosha mikono hewani ishara ya kukubaliana na uamuzi wa Kamati Kuu kuazimia kuwa Red Brigade iimarishwe kwa kupewa mafunzo ya UKAKAMAVU na kisha wakanyoosha mikono kama ishara ya kukubaliana na uamuzi wa CHADEMA kujilinda, self defence, baada ya mashambulio kadhaa yakiwemo majaribio ya kulipuliwa kwa bomu.
Hakuna hata gazeti moja lililoripoti habari ya Chadema Songea
Hakuna hata gazeti moja lililoripoti habari ya Chadema Songea
Nyomiiii