LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Hawa makamanda makamasi noma sana
Lakini mkuu Mwana Diwani inabidi tuishauri serikali ifungue hospitali maalumu ya kutibu magonjwa ya moyo na depression kwani nina uhakika mwaka 2015 Makamanda wengi watajirusha kutoka ghorofa ya kwanza na kujiua kama sio kupata mshtuko wa moyo au zubaiko la akili

kwanini usihisii serikari ifungue hospitali ya wagonjwa wa vichaa, vichaa kama wewe utibiwe hapahapa nchini
 
Mkubwa ninachoogopa ni baada ya 2015 hawa vijana watafanya nini kwani wengi watakuwa wameisha kata tamaa ya maisha
Inabidi serikali ijiandae na mlipuko wa watu kujinyonga
Wanadai wanataka kulikomboa taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Yaani wao wanaona bora mkoloni mweupe atawale kuliko mkoloni mweusi. hii inatokana na historical mentality ya kiongozi mwanzilishi wa chama.

Ukiwauliza, CHADEMA inasemaje juu ya siasa ya ujamaa na kujitegemea kama ilivyo kwenye katiba kwa sababu katika hadidu za rejea ni swala ambalo nila msingi. jibu nila kusua sua. Zaidi zaidi utaambiwa CHADEMA iko kwenye mlengo wa kati. Maana yake nini? na ina imply nini kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea?. Jibu ni sawa na winning lottery.
 
kwanini usihisii serikari ifungue hospitali ya wagonjwa wa vichaa, vichaa kama wewe utibiwe hapahapa nchini
Mkubwa kama mimi ni kichaa, na ukichaa wangu niliweza kuwachorea mlango wasomi wote uk wakaugombania , basi kichaa changu kinafaa sana inabidi ufanye mbinu nikuambukize.
Pia ukumbuke yule paulina anayejiita Dr ambaye ndiuo alikuja na hilo neno kichaa yeye mwenyewe anatia adabu hapa
Mimi ni sawa na huyo Dj mnayemuabudu, gwanda wee!
 
Wanadai wanataka kulikomboa taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Yaani wao wanaona bora mkoloni mweupe atawale kuliko mkoloni mweusi. hii inatokana na historical mentality ya kiongozi mwanzilishi wa chama.

Ukiwauliza, CHADEMA inasemaje juu ya siasa ya ujamaa na kujitegemea kama ilivyo kwenye katiba kwa sababu katika hadidu za rejea ni swala ambalo nila msingi. jibu nila kusua sua. Zaidi zaidi utaambiwa CHADEMA iko kwenye mlengo wa kati. Maana yake nini? na ina imply nini kwenye siasa ya ujamaa na kujitegemea?. Jibu ni sawa na winning lottery.

Ujamaa na kujitegemea unaelezwa kimatendo na Serikali ya Magamba....yaani ni kuwa na madeni kuzidi hata bajeti yako ya nchi...na kuishi kwa kutegemea misaada....
Huu ndio ujamaa na kujitegemea wa CCM!
 
CCM ni chama kilichopoteza mvuto kwa wananchi wanaojitambua na kuona visivyoonekana ukivaa kapelo ya manjano na kijani.
 
Mkubwa kama mimi ni kichaa, na ukichaa wangu niliweza kuwachorea mlango wasomi wote uk wakaugombania , basi kichaa changu kinafaa sana inabidi ufanye mbinu nikuambukize.
Pia ukumbuke yule paulina anayejiita Dr ambaye ndiuo alikuja na hilo neno kichaa yeye mwenyewe anatia adabu hapa
Mimi ni sawa na huyo Dj mnayemuabudu, gwanda wee!

Mzalendo hakimbii nchi....acha kupanic brother
 
Ujamaa na kujitegemea unaelezwa kimatendo na Serikali ya Magamba....yaani ni kuwa na madeni kuzidi hata bajeti yako ya nchi...na kuishi kwa kutegemea misaada....
Huu ndio ujamaa na kujitegemea wa CCM!
Fine!
Tueleze basi pia Ujamaa na Kujitegemea wa CHADEMA ukoje?
 
Miongoni mwa wasanii waliokuwepo ni Diamond,Tmk wanume,Kinana,Nape na wasanii wengine kibao kwa kuwa ilkuwa hamna kiingilio watu walikuwepokuwepo japokuwa ni wa kuletwa na maloli.
 
Sikatai Mrema alikuwa na nguvu sana na bila kuingia Mwl Nyerere mchuano ungekuwa mkali lakini ni sehemu ya CCM na Kinana ndie alieongoza kampeni,
Anyway wewe kinakuuma nini ya upande wetu? nyie endeleeni kushughulikia suala la Lwakatare
Kwanza nimeanza kuamini kuwa kwa namna moja au nyingine suala la Uli mnahusika, Ningekuwa bado kwenye kazi yangu ya zamani lazima ningeomba nimweo kwenye timu inayopeleleza hii kesi....

kweli AKILI NDOGO,

Kina niuma UFISADI na UMASIKINI wano upata wazazi wako na ndugu zako kule kijijini huku walikusomesha na wanakutegemea huwe mkombozi wao, ila ndio hivyo tena kijana wao akili zake ameshikiwa.

Pili kumbuka uongei na MwanaCHADEMA ila unaongea na MWANAMAGEUZI.
 
CCM inashinda 2015 kwa kishindo sana na hii inatokana na timu waliounda. CCM itashinda tena sana.
 

Attachments

  • 7.jpg
    7.jpg
    39.8 KB · Views: 51
  • 13.jpg
    13.jpg
    32.6 KB · Views: 57
  • 39.jpg
    39.jpg
    76.1 KB · Views: 73
Fine!
Tueleze basi pia Ujamaa na Kujitegemea wa CHADEMA ukoje?

Ujamaa na kujitegemea ni kauli mbiu ya TANU ambayo CCM imeendeleza kama sera yake kuu...
CHADEMA hakiamini katika ujamaa bali kinaamini katika mrengo wa kati...yaani ujamaa na ubepari...kuwatumia mabepari kujenga uchumi imara kuwainua maskini kuwa katika tabaka la kati bila kumuumiza mtu....
Hii ni sera ambayo inatumiwa na mataifa makubwa yaliyokuwa yakiamini katika ujamaa ambao umekufa..
 
Siasa kwenu mmeona kama timu za mpira eeh wakati matatizo ya msingi bado yamewashinda, UJINGA , MARADHI, UMASKINI UFISADI. Mtashinda ili iweje wakati watu wanaumia?. Shame on you mmekosa Credibility mpaka kujiita mtanznia nia aibu sasa.
 
CCM inashinda 2015 kwa kishindo sana na hii inatokana na timu waliounda. CCM itashinda tena sana.

Akili za kuazima ukishazitumia rejesha kwa mhska kabla hajaja kuzichukua wenda akahtaji kwa matumiz tofauti na wewe,kwa akili yako hyo ccm imetekeleza lipi kwa ukamilifu?je ni lini mkoa wa morogoro waliwakilisha maamzi ya watz wote?kuna mtu ameuliza kuwa mkutano wenu huo lilikuwa tamasha?au mkutano wa hadhara?kama skukuu ya uhuru kwa dar pekee ni bil.60 je kwa morogoro leo mtakuwa mmetumia bilion ngapi?jidanganyeni,jipeni moyo ila mtaskia na kuona jinsi watz watakavyo waadhibu kwa dhuruma na wizi wenu wa maliasiri za taifa.
 
Hawaamini macho yao kwa vile wengi wao wamejazwa daydream. CCM inasonga mbele kuelekea general election 2015 wakati wao wanahangaika na kusoma picha za mikutano.

CCM inakwenda door to door, mtaa kwa mtaa, kijiji kwa kijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa kwa mkoa.

Yaani Kinana anawatoa kamasi tu katika ziara zake za miakoa miwili tangu awe katibu mkuu.

Kibanda alishawaambia kuhusiana na uongozi wa Kinana wakamwona ni kibaraka.

YANATIMIA. OPEN YOUR EYES GUYS.

CCM mna tabia ya kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mfa maji haachi kutapatapa
we are tired of this nusty politics
tunataka maendeleo.
atakae wapigia kura labda atakuwa hana akili nzuri 2015.
 
Back
Top Bottom