LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

unavyoongea utadhani ukoo wenu wote mnaishi ulaya, unaita vichocholoni wakati umeacha nduguzo kibao, hivi we unaona kuishi ulaya ndo dili? na ndo hata likizo huwezi kuja maana ukitoka tu ndo hurudi tena. sasa taarifa yako hivyo vichocholo ni zao la uongozi wa miaka 50 ya chama chenu, eti unasema unaangalia mpira kwenye home tv room. kumbuka wakati wewe una chumba maalumu cha kuangalizia tv huku kuna watanzania wanaishi kwenye chumba kimoja, kitchen, tv room, sitting room, dining room nl ni hapo hapo. you sound silly...
Kwa hiyo unataka niwe Mother Theresa?. We vipi bana.
Kama unaota chama cha siasa kitakuja kukubadilishia maisha, endelea kuishikilia ndoto yako na utakufa maskini.

Ushauri wangu kwako, Chama kitakachokuondoa kwenye dimbwi la ufukara ni kufanya kazi kwa juhudi na maalifa.
 
Bora ya CCM inamlipa msanii kuliko nyie mnaolipa watu waende kuua wauza magazeti kwenye mikutano yenu.

Una Uhakika HUO? Sasa ni Serikali ya nani ilimlipua MWANGOSI? ni Nani aliyemtoa Makucha na Meno yule Daktari wa Muhimbili? na kinachoshangaza ni kuwa Hakuna KESI zao MAHAKAMANI - Haya kuna MWANDISHI wa MTANZANIA aliyofyatuliwa RISASI JICHONI na kuvunjwa kucha hapo ni CHAMA na Serikali ya nani ilifanya hivyo? na MBONA Nape Nnauye alivyotaka kwenda kumtembelea HOSPITALINI Mgonjwa aligoma kuonana na huyo NAPE NNAUYE? hivi ni kwasababu ya MADUDU aliyoandika kwenye FACEBOOK page yake????

Na cha kushangaza ni kuwa VIONGOZI wa SERIKALI Tawala hawajui DEFINITION ya GAIDI... Inasikitisha kweli...
 
Una Uhakika HUO? Sasa ni Serikali ya nani ilimlipua MWANGOSI? ni Nani aliyemtoa Makucha na Meno yule Daktari wa Muhimbili? na kinachoshangaza ni kuwa Hakuna KESI zao MAHAKAMANI - Haya kuna MWANDISHI wa MTANZANIA aliyofyatuliwa RISASI JICHONI na kuvunjwa kucha hapo ni CHAMA na Serikali ya nani ilifanya hivyo? na MBONA Nape Nnauye alivyotaka kwenda kumtembelea HOSPITALINI Mgonjwa aligoma kuonana na huyo NAPE NNAUYE? hivi ni kwasababu ya MADUDU aliyoandika kwenye FACEBOOK page yake????

Na cha kushangaza ni kuwa VIONGOZI wa SERIKALI Tawala hawajui DEFINITION ya GAIDI... Inasikitisha kweli...

Kwa hayo maswali uliyoniuliza, nina uhakika ikitokea mke/mume wako "katembea nje" utaniuliza "Aliyesababisha mke/mume wangu atembee nje ni nani kama siyo serikali?".
 
Kwa hayo maswali uliyoniuliza, nina uhakika ikitokea mke/mume wako "katembea nje" utaniuliza "Aliyesababisha mke/mume wangu atembee nje ni nani kama siyo serikali?".

Kwanini Umeruka na kuingia kwenye FAMILIA? was it difficult? or Just it involves Secret POLICE run by the CCM GVT? Kwasababu Ghafla Umeruka Majibu?

**** As they always say COWARDS DIE MANY TIMES BEFORE THEIR DEATHS....
 
Ccm mmepanic hamna lolote sa hivi

431930_504878106226174_444301493_n.jpg


524755_504881402892511_904643915_n.jpg


CHADEMA INAWAUMIZA SA HIVI CHECK HAPO
 
Kama akili yako inafanya kazi vizuri angalia aina ya watu walio kwenye huo mkutano halafu njoo uangalie aina ya watu waliokuwa kwenye mkutano wa CCM then utaelewa kitu.

Ndiyo maana 2015 mtaendelea kulalamika mmeibiwa kura kama alivyolalamika mwenzenu Odinga.

SUMU naona umeshaingia shift ya usiku.Bora msaidiane kwa7bu mna hali mbaya sana.Naona ccm fiesta imeshaanza.kesho mtakua wapi na timu yenu ya wasanii.
 
Diamond ndio alifunika leo morogoro na cdm kama vile walikuwa wanamkutano moro hotuba yote ya kinana ni cdm.mnajitahidi kuanzisha thread nyingi lakini mmekula za uso ccm.
 
Ukiangalia kwa makini hizi picha utaona kuwa mkutano wa ccm umejaa watoto ambao walikwenda kumchek nasb diamond lakini ule wa chadema wamejaa watu wazima ambao ndio wapiga kura..........................
 
Kama akili yako inafanya kazi vizuri angalia aina ya watu walio kwenye huo mkutano halafu njoo uangalie aina ya watu waliokuwa kwenye mkutano wa CCM then utaelewa kitu.

Ndiyo maana 2015 mtaendelea kulalamika mmeibiwa kura kama alivyolalamika mwenzenu Odinga.
Kwa hiyo hao wanawake wapaka mkorogo ndio watu zaidi yai wengine Kinana analokubwa sana la kujifunza kwenye mkutano wa leo Morogoro ni mkutano umeleta wajumbe na mabasi ya Abood toka sehemu mbalimbali za mkoa wa morogoro hilo tu la kufanya maandalizi ya kusomba watu ni funzo tosha Tanzania ina vijana kwa aslimia 71 ndio uwaonao, wewe mwenyewe ni kijana unapambana hapa mlete kigunge tuone usidharau mwiba hapo vipi?
DSC_4913.JPG
524755_504881402892511_904643915_n.jpg
5.+DIAMOND+AKITUMBUIZA+UWANJANI.jpg
552882_504877936226191_481702306_n.jpg
4.DIAMOND+AKIWA+AMEBEBWA+NA+WASANII+WAKE.jpg
400741_504897529557565_1750389005_n.jpg
1.+KINANA+AKIHUTUBIA+MAELFU+YA+WANANCHI+KATIKA+MKUTANO+WA+HADHARA+MJINI+mOROGORO.jpg
 
R.I.P chadema
Hawaamini macho yao kwa vile wengi wao wamejazwa daydream. CCM inasonga mbele kuelekea general election 2015 wakati wao wanahangaika na kusoma picha za mikutano.

CCM inakwenda door to door, mtaa kwa mtaa, kijiji kwa kijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa kwa mkoa.

Yaani Kinana anawatoa kamasi tu katika ziara zake za miakoa miwili tangu awe katibu mkuu.

Kibanda alishawaambia kuhusiana na uongozi wa Kinana wakamwona ni kibaraka.

YANATIMIA. OPEN YOUR EYES GUYS.
 
Hawaamini macho yao kwa vile wengi wao wamejazwa daydream. CCM inasonga mbele kuelekea general election 2015 wakati wao wanahangaika na kusoma picha za mikutano.

CCM inakwenda door to door, mtaa kwa mtaa, kijiji kwa kijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa kwa mkoa.

Yaani Kinana anawatoa kamasi tu katika ziara zake za miakoa miwili tangu awe katibu mkuu.

Kibanda alishawaambia kuhusiana na uongozi wa Kinana wakamwona ni kibaraka.

YANATIMIA. OPEN YOUR EYES GUYS.
Chadema hawana ujanja kwa Kinana
Ukiangalia historia inajiandika yenyewe
Kinana ndie aliyemuweka Mkapa madarakani na sasa Kikwete na ndie atayeongoza kampeni za Jembe letu 2015
Kuna ngoma nyingine huchezwa na wakubwa tu, Chadema wao ni ngoma ya kitoto, haikeshi!
 
Nipo katika mitaa ya mji kasoro bahari kama kawaida naona jezi za CCM zimetapakaa maeneo mengi ya mji huku maroli na mabasi ya abiria yakisombawanachama toka pande zote za mkoa ili kuhudhuria mkutano wao.

Bodaboda zinaanza kuadimika mara baada ya CCM kuwakodisha kwenda katika maandamano


Kama kawaida yao Katibu wa Zanzibar aanza na mipasho kwa kukashifu CUF kuwa toka kinaanzishwa baba na mama na kitanda kilivyoanzishwa na mimba ilivyoingia anajua.

Ila kwa ufupi watu ni wachache mnoo sio kama ilivyotarajiwa na raia wengi wamekaa kwenye viti.

Updates.

Mbunge wa morogoro anaongea ila kama JK lazima asome.

Nape anaona watu wanaondoka anawambia Diamond anatudi stejini kuburudisha

chama kilichochakaa na akili zao zimechakaa
 
Back
Top Bottom