MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Kwa hiyo unataka niwe Mother Theresa?. We vipi bana.unavyoongea utadhani ukoo wenu wote mnaishi ulaya, unaita vichocholoni wakati umeacha nduguzo kibao, hivi we unaona kuishi ulaya ndo dili? na ndo hata likizo huwezi kuja maana ukitoka tu ndo hurudi tena. sasa taarifa yako hivyo vichocholo ni zao la uongozi wa miaka 50 ya chama chenu, eti unasema unaangalia mpira kwenye home tv room. kumbuka wakati wewe una chumba maalumu cha kuangalizia tv huku kuna watanzania wanaishi kwenye chumba kimoja, kitchen, tv room, sitting room, dining room nl ni hapo hapo. you sound silly...
Kama unaota chama cha siasa kitakuja kukubadilishia maisha, endelea kuishikilia ndoto yako na utakufa maskini.
Ushauri wangu kwako, Chama kitakachokuondoa kwenye dimbwi la ufukara ni kufanya kazi kwa juhudi na maalifa.