Live Updates: Man City Vs Man Utd, live from the Ettihad

Live Updates: Man City Vs Man Utd, live from the Ettihad

Sijui kapata m-Porto Rico huko?

alinipm na kuniambia haondoki huko bila kutazama game yeyote ya Tennis ya Serena Williams tena anataka akae majukwaa ya kwenye curve mchezaji anapowapa mgongo mashabiki halafu akasema anaomba siku hiyo Serena aokote sana mipira!
 
Heheee

Kun Agguero...

Naona 6 zinajirudia hapa...
 
ni watoto wazuri sana hao..

yaani ni wana nywele na sura za kizungu,rangi ya kihindihindi,body za kibantu..ni balaa tupu,kama kuna mama yeyote hapa mumewe ana mpango wa kwenda world cup brazil nashauri amng'ang'anie waondoke wote au siku ikifika kama kagoma mpigie pasi nguo zake vizuuri,mpe mkumbushe ticket yake ilipo halafu mfichie passport,anzeni kuitafuta halafu..dah Maskini Man U..4!
 
Back
Top Bottom