Live Updates: Man City Vs Man Utd, live from the Ettihad

Live Updates: Man City Vs Man Utd, live from the Ettihad

Mourinho vipi milan vs Napoli?sioni uzi tuchangie changie baadae
 
Kama umeangalia vizuri,
toka dk ya kwanza mpaka Man City wanafunga goal, mpira ulikua kwenye
half yenu tu

sawa kma ulikuwa makini kuhesabu hzo pasi, nategmea man utd wanifariji leo, siku ishaharibika hii.
 
Huu mpira wa leo haujatulia.hakuna free flow,ni makwanja,distractions na kuvutana jezi!waingereza mmeanza kuiga mpira wa serie a,mtauweza?!
 
Huu mpira wa leo haujatulia.hakuna free flow,ni makwanja,distractions na kuvutana jezi!waingereza mmeanza kuiga mpira wa serie a,mtauweza?!

Man City wame switch off baada ya goal na wasipokua makini hizi faulo na kona zitawacost
 
Hahahahahahahaaa, naamini General Gang Chomba atauanzisha huo uzi, akizingua tutalianzisha Mkuu

poa.Chomba bado anaponda maisha Las Vegas na mpira kausahau kabisa ha ha haa,chezea America wewe..Touree
 
Last edited by a moderator:
Haya hayaaa, kumekuchaaa!
Sikutegemea Man Utd kufungwa kirahisi kwenye set pieces,
halahaulaaah!
 
Back
Top Bottom