ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
[h=5]Young
Africans Sports Club[/h]
Mpira ni mapumziko, Young
Africans 1 - 0 Azam FC
Salum Telela dkk 2
tathimini ikoje mkuu?
[h=5]Young
Africans Sports Club[/h]
Mpira ni mapumziko, Young
Africans 1 - 0 Azam FC
Salum Telela dkk 2
Tangu lini mpira uka isha dk 45?lamba lamba kiko wap???
tathimini ikoje mkuu?
duu kipindi cha kwanza kishaisha kiaina boco itabidi atoke tu anazodoa..
tathimini ikoje mkuu?
Yanga unapiga mipapai (butubutu)tathimini ikoje mkuu?
Tangu lini mpira uka isha dk 45?
Mwongo!azam inashambulia sana..
Tangu lini mpira uka isha dk 45?
Mwongo!
duu kipindi cha kwanza kishaisha kiaina boco itabidi atoke tu anazodoa..
Kuumia kwa Yondani na
Barthez mapema kwa kiasi fulani imekuwa faida kwa Azam, angalau
wamefanya mashambulizi kadhaa langoni Yanga. Twite na Didas wamejitahidi
kuziba mapeng6 yaliyoachwa, Inshaallah tutashinda.
Arsenal 1 _ Aston Villa 0.
Dakika ya 5.
Pole sana kaka, hivi hawa vijana huwa hawatembezi bahasha? Isije ikawa kapewa mshiko acheze chini ya kiwango.
Pole sana kaka, hivi hawa
vijana huwa hawatembezi bahasha? Isije ikawa kapewa mshiko acheze chini
ya kiwango.