Golini kama ameingia Dida, Yanga ndio basi tena!. Subirini kichapo. Hamjiulizi kwa nini Yondani na Bartez wameumia kimagumashi!!. Jibu mtalipata baada ya dk 90Anadaka Munishi.
Mbona ni mapema mno.Dak. 40 bado Yanga 1-0 Azam.
Dk90 wewe utakua upo hapa kweli?Golini kama ameingia Dida, Yanga ndio basi tena!. Subirini kichapo. Hamjiulizi kwa nini Yondani na Bartez wameumia kimagumashi!!. Jibu mtalipata baada ya dk 90
Pamoja mkuu.[h=5]Young Africans Sports Club[/h]
Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Azam FC
Salum Telela dkk 2