Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Kuumia kwa Yondani na Barthez mapema kwa kiasi fulani imekuwa faida kwa Azam, angalau wamefanya mashambulizi kadhaa langoni Yanga. Twite na Didas wamejitahidi kuziba mapeng6 yaliyoachwa, Inshaallah tutashinda.

nahisi kuna ushindi ila dizaini kipre na bocco wanazingua tu..
 
Huku Benteke anawakaanga Arsenal, dk ya 22 goli 1-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom