kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,236
- 4,989
kwa hiyo wanalima sana mahindi hongera zetu kwa kilimo kwanza nilikuwa sijui ati..
muulize Mwakyembe atakujulisha zaidi
kwa hiyo wanalima sana mahindi hongera zetu kwa kilimo kwanza nilikuwa sijui ati..
YANGA Ubingwa mwaka huu LAZIMA....
muulize Mwakyembe atakujulisha zaidi
poleni Azam pamoja na dada zenu, maana najua huu msiba unawahusu wote.!!
kwani ni waziri wa kilimo siku hizi..
asante ndio mpira sio kila siku sherehe kumbuka mkuu..
Anapambana na wanaosafirisha Sembe nje ya nchi kama ninyi mliopeleka South
Ila inaonekana Azam ni mteja wa kidumu pale Jangwani.
Tatizo ni umoja wenu wa kinafiki ndio unaowaponza, kaa mbali na Simba kidogo utapunguziwa kipigo.!!
aaah siku yanga ikishinda kila mtu yanga..
Golini kama ameingia Dida, Yanga ndio basi tena!. Subirini kichapo. Hamjiulizi kwa nini Yondani na Bartez wameumia kimagumashi!!. Jibu mtalipata baada ya dk 90
mwanzo mzuri kwa Yanga
hakuna umoja mkuu wachezaji wenyewe ndio wameridhika kiboya yanga haina mpira kiivo ni uzembe tu wakijinga..
kwa vile timu zingine hazijui kucheza au..
kwani mkuu zao la mahindi ni kosa kuli safirisha mkuu..
mbona hakuna anayesema score ni ngapi kwa ngapi??....wabongo bana!!.......