Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Live update:Yanga vs Azam leo tar 17.08.2013 taifa!!

Naona mashabiki wa Azam/Simba wanaanza kuondoka uwanjani sasa.
 
Yangaaaaaa jamani zimebaki dk ngapi nianze kushangilia mieeeee, chezea Yanga weye
 
Mwanza ila na driver kuelekea maeneo ya mizani mpira wenyewe unaisha bado unauliza maswali miafrika Ndivyo ilivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom