Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Straika bora East & Central Africa atoke Burundi! Umemeza SP au mseto? Inaonekana una malaria.
Mkuu mchezaji mzuri hachagui nchi atokayo, Abdallah Juma aliwahi kuwa mfungaji bora mara mbili mfululizo na anatokea kwa wala urojo, tulitarajia atokee Kigoma, Mbeya, Mwanza au Morogoro.
 
Mkuu mchezaji mzuri hachagui nchi atokayo, Abdallah Juma aliwahi kuwa mfungaji bora mara mbili mfululizo na anatokea kwa wala urojo, tulitarajia atokee Kigoma, Mbeya, Mwanza au Morogoro.

Hivi lile bonge Abdallah Juma alipotelea wapi?

Alikuwa mbaya sana Mzenji yule
 
Dk 15

Simba SC 1 - 0 Kagera S

Mkude yupo chini kaumia....anapata matibabu...katolewa nje
 
Tbccm chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,Mzigo umeamia chana reli 10.!!!!!!!
 
Back
Top Bottom