Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Leo lazima mkumbuke Mungu, vinginevyo JKU inawatoa jasho la damu.
Sisi wacha Mungu siku zote.
Leo lazima mkumbuke Mungu, vinginevyo JKU inawatoa jasho la damu.
Leo hatubishani kwa maneno, ni vitendo tu.
dk ya ngapi wakuu?hauishi tu nataka matuta yanga atoke
kazi ya mdomo kuongea haijalishi hata kama Ni pumba..mikia ya Jang'ombe
Ah! Mzee wa ndala a.k.a yanga damu naona ushaingia.
Hawa maafande wanajifanya kukazaa, ila wataachia tu hata kwa matuta. Tuko tayari kwa lolote harudi mtu Dar.
hatoki mtu hapa mpaka kieleweke...go go YANGA
uwezo huo hamnao.size yenu jangombe
Jku -1