Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Haha mnyama akifanya yake wanasema ma- bonanza..ila akifungwa Sio..haters bhana
Bado tupo, haya ni mapito tu.
Haha mnyama akifanya yake wanasema ma- bonanza..ila akifungwa Sio..haters bhana
Kwa amani kabisa, mabonanza haya tushayazoea.
Mimi sichekelei kihivyo maana tunawataka sana ili tujiongezee utukufu kwa kuwafunga nyie, tulitaka mioyo yenu iwe migumu kama ilivyokuwa kwa Farao ili siku tukikutana tuwaonyeshe kazi na kujiongezee utukufu lakini sasa mnaelekea kuwa laini laini sana.
polee makoye matale
Bado tupo, haya ni mapito tu.
nachopenda uko honestAsante sana.
JKU ni maafande hasa.
dk ya 90 kamili
Dakika 2 za nyongeza, tunasubiri miujiza pekee!