Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Kipindi hiki cha pili Yanga wameamka na hawa JKU wasipokuwa makini watafungwa sasa hivi.
 
Inanikumbusha kipindi kile timu za Zanzibar za zamani kama Mlandege, Small Simba na Malindi sijui zimeishia wapi.
 
bana miguu kabisa . hahahhahaa

Jamaa wanashambulia sana ila kwa sababu Mungu sio Mbuyu Twite unaweza shangaa dakika 90 bila bila na kwenye mikwaju ya penati Yondani na Msuva wakapaisha. hivyo Mtibwa na JKU wakakutana tena.
 
Back
Top Bottom