Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
"Kama unadhani kati ya hao kuna atakayeizuia Yanga umekosea. Ni suala la muda tu na kukamilisha ratiba ili kuitimiza haki yote,kombe la bonanza ni letu YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB.Wengine wote ni kenge tu waliojiingiza katika msafara wa mamba ".
Sijui kenge yupi aliyeandika huu ujinga.If just if wishes were horses ...........
Upuuzi mtupu.