Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

"Kama unadhani kati ya hao kuna atakayeizuia Yanga umekosea. Ni suala la muda tu na kukamilisha ratiba ili kuitimiza haki yote,kombe la bonanza ni letu YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB.Wengine wote ni kenge tu waliojiingiza katika msafara wa mamba ".
Sijui kenge yupi aliyeandika huu ujinga.If just if wishes were horses ...........

Upuuzi mtupu.
 
Mtibwa ndo bingwa wa bonanza hili,
kama hutaki unaacha.
 
Bora umeedit kwani kukiri kwamba wewe ni kenge ni upuuzi mtupu.
 
Ni kawaida kwa mabinti kushtaki kwa kaka zao wanaposhindwa vita.Hivyo sioni ajabu migongo wazi kuitegemea Mtibwa.
 
Amavubi kenge atazinduka baada ya muda yaani ni mzito kuelewa mara moja, mpaka apigwe jeki.
 
[TABLE="class: league-table, width: 468"]
[TR="class: even"]
[TD="class: fd"]FT[/TD]
[TD="class: fh, align: right"]Sunderland[/TD]
[TD="class: fs, align: center"]0 - 1[/TD]
[TD="class: fa"]Liverpool[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hivi wana-Yanga wanatafuta nini humu? Nilitegemea watakuwa bandarini kuwapokea wapiga mpira wao
 
Back
Top Bottom