Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Tatizo watu wanataka hela za viingilio vya Simba na Yanga lakini wangeacha mpira uchezwe leo tulikuwa tunaongea mengine hapa.
 
  1. Mechi ya Kwanza Itapigwa Hivi Punde Kati ya KCCA na Polisi Zanzibar
  2. Mechi Kali ya Pili Itakua Kati ya Azam na Mtibwa Sugar
  3. Yanga na JKU iTapigwa Saa 2.15 Usiku


Stay Tuned with Mkolaji; Makoye Matale

tupia update za yanga utupe raha
 
Tatizo watu wanataka hela za viingilio vya Simba na Yanga lakini wangeacha mpira uchezwe leo tulikuwa tunaongea mengine hapa.
Kwani unadhani hatutaongea mengine?
 
Kwani unadhani hatutaongea mengine?

Mkuu mechi ya Simba na Yanga ni kama escrow, hakuna kiongozi wa TFF na ZFA ambaye hataki kushiriki kwenye hiyo escrow. Ngoja tuone saa nyingine mambo huenda vile ambavyo hayakupangwa au kutarajiwa.
 
Simba nibora tufungwe na tim yeyote ile na si sanga, nawaombea yanga mshinde tukutane mumfukuze tena huyo kalan wenu
 
nilishasema yanga wana timu mbovu zaidi.hawatoki Kwa jku
 
kama mmeshindwa kuwafunga kipindi cha kwanza kipindi cha pili msahau huwa wanakaza sana kipindi cha pili waulizeni mtibwa na simba walikuwa wanaomba mpira uishe.

Mpira dakika 90. Tulia uone mambo ya Yanga. Tutaandika kitu muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom